Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMF yajipanga kuboresha uandishi

MFUKO wa Vyombo vya Habari nchini (TMF) umejipanga kuongeza uwezo wa mwandishi mmoja mmoja katika kufanya habari za uchunguzi, ili kuongeza idadi ya waandishi wenye uwezo, wa kufanya habari za kiuchunguzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Serikali yajipanga kuboresha mazingira rafiki ya hedhi Salama kwa wanafunzi

Mratibu wa huduma ya Maji, Afya na Usafi wa mazingira shuleni kutoka wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bi Theresia Kuiwite (Katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya mwaka huu ya Siku ya Hedhi Duniani yatakayofanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania tarehe 28 Mei, yatakayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. 
Kauli mbiu ya mwaka huu Ikiwa "Usisite Kuzungumzia Hedhi". Wengine kushoto ni Mwandaaji wa maadhimisho hayo...

 

9 years ago

Mwananchi

Uandishi usio uandishi wa habari

Kama kuna uandishi wa habari ambao utachukiza na hata kuchefua wasomaji na wasikilizaji Jumapili hii, ni unaofanana na huu hapa.

 

10 years ago

Michuzi

AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI

Kampuni ya African Barrick Gold (ABG) imesaini mkataba wa miaka miwili (MoU) na Chuo Kikuu cha Afya cha Muhimbili (MUHAS) idara ya Mazingira na Afya bora kazini(Environmental and Occupational Health Sciences) ili kuboresha taluma za madaktari.
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...

 

9 years ago

TheCitizen

TMF boosts 37 media houses

The Tanzania Media Foundation, formerly known as the Tanzania Media Fund (TMF), says it has in the past two year offered grants to 37 media organisations to address the challenge of accountability.

 

9 years ago

IPPmedia

Govt promises to collaborate with TMF


Govt promises to collaborate with TMF
IPPmedia
The government has assured continuous cooperation with Tanzania Media Foundation (TMF) in improving rural reporting and help rural dwellers to get timely and accurate information. The Permanent Secretary in the Ministry of Information, Youth Culture ...

 

9 years ago

Michuzi

TMF KUWATUZA WAANDISHI KESHO

MFUKO wa Habari Tanzania utatoa kesho tuzo maalum tuzo kwa waandishi waliowezeshwa na TMF na kazi zao kuweza kuleta mabadiliko chanya. Hafla ya utoaji tuzo hizo itafanyika jijini Dar es salaam kesho tarehe 22 Septemba na itaambatana na maonyesho ya kazi hizo za kiuandishi.  Tukio hilo linatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali na watu mashuhuri kutoka kwenye taaluma ya uandishi wa habari pamoja na asasi za kiraia, wafadhili na serikali.
“Wakati Mfuko wa Habari Tanzania ukifikia tamati,...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

TMF Suspends Grant Applications for Nine Months


TMF Suspends Grant Applications for Nine Months
AllAfrica.com
THE Tanzania Media Fund (TMF) has stopped accepting new applications for individual or institutional grants until May, next year. Instead, the fund is now finalising its current contracts, as well as its transitions from being a donor-managed initiative to an ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani