CHADEMA yajipanga uchaguzi wa udiwani
KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa, amesema chama hicho kitahakikisha kinawapitisha wagombea wanaokubalika kwenye chaguzi za udiwani na wenyeviti wa serikali za vijiji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BAkA4-b7wlI/Uvk12TCc6aI/AAAAAAAFMQI/tCI7yBZPbXo/s72-c/Nape-Nnauye.jpg)
CCM YATOA SHUKRANI KWA WANANCHI KUIMWAGA CHADEMA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI ULIOFANYIKA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BAkA4-b7wlI/Uvk12TCc6aI/AAAAAAAFMQI/tCI7yBZPbXo/s1600/Nape-Nnauye.jpg)
Akitoa shukrani hizo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo kwamba siri ya CCM kuimwaga CHADEMA ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi na kwamba, kushindwa kwa chama hicho ni ushahidi kwamba hakikubaliki na Watanzania wamewathibitishia kwamba hawajazoea vurugu. Nape alisema CCM...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
CHADEMA yajipanga
HUKU Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikijipanga kuweka safu mpya ya uongozi kitaifa ifikapo Agosti 31, imebainika kuwa mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya chama hicho chini ya Mwenyekiti, Freeman...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
CHADEMA yajipanga upya
KATIKA kuhakikisha uchaguzi mkuu wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), unaendeshwa kwa uwazi na umakini ili kuepuka mitego ya kuchomekewa wasaliti, chama hicho kimejipanga upya na kuusogeza...
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
CHADEMA Mwanza yajipanga kuikabili CCM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Mwanza kimeandaa mbinu mbaya za kukiangamiza Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
ADC yajipanga uchaguzi Serikali za Mitaa
CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinatengeneza mikakati mbalimbali ya kushinda viti vingi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwakani. Akizungumza...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta--Ocxtober7-2014.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.
Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...
9 years ago
Mwananchi28 Dec
CCM yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa marudio Zanzibar
10 years ago
Habarileo17 Jul
Chadema yapangua ratiba fomu za ubunge, udiwani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelazimika kupangua ratiba ya awali ya uchukuaji fomu za ubunge na udiwani kwa wanachama wake, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majimbo mapya 26 ya uchaguzi hivi karibuni.