Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIDO Iringa yawakopesha wajasiriamali wadogo zaidi ya sh milioni 229.9

IMG_3141

Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya.

Na Fredy Mgunda, Iringa

SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 229.9 kwa wajasiriamali wa mkoa huo, katika kipindi cha July mpaka Desemba mwaka jana.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha wajasiriamali Wadogo kupata mitaji, na kuinua uchumi wao ili waondokane na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

TPB yatoa zaidi ya Milioni 200 kuwawezesha wajasiriamali kiuchumi, ni mkopo nafuu

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Sabasaba Moshingi, (kushoto), akikabidhi mfano wa hundi kwa Mkurugenzi wa Shirika la Vijana Wajasiriamali na Uwezeshaji Tanzania, (TYEEO), Ayub Gerald Luhuga, wakati wa hafla fupi iliyofanyika Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dar es Salaam Desemba 23, 2015. Benki hiyo imevipatia vikundi vinane vya wajasiriamali jumla ya shilingi milioni 244,500,000/- kama mpoko nafuu ikiwa ni awamu ya kwanza ya utoaji mikopo hiyo, kufuatia makubaliano...

 

10 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido

Wajasiriamali waliopanga kwenye majengo ya Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (Sido) jijini Dar es Salaam, wamelalamikia kupanda kwa zaidi ya mara tatu kwa kodi ya pango.

 

11 years ago

Dewji Blog

Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha

IMG-20140609-WA0055

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya  SIDO.

IMG-20140609-WA0058

 

IMG-20140609-WA0059

 

IMG-20140609-WA0025

 

IMG_7759

Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.

IMG_7959

Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka  viwanda vidogo vidogo.

IMG_8002

Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.

IMG_8014

IMG_8133

Mkurugenzi wa Sido...

 

10 years ago

Michuzi

WAKUU WA WILAYA ZA KISHAPU NA SHINYANGA WATEMBELEA MABANDA YA WAJASIRIAMALI MAONESHO YA SIDO KANDA YA ZIWA

Maonesho ya bidhaa mbalimbali zinazozalishwa/kutengenezwa kutoka Viwanda Vidogo yaliyoandaliwa na Shirika la Viwanda Vidogo SIDO kanda ya ziwa yanaendelea katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga,watu mbalimbali wanafika kujionea mambo mazuri yanayofanywa na wajasiriamali zaidi ya 200 kutoka ndani na nje ya nchi ya Tanzania.Leo jioni,Juni 01,2015 wakuu wa wilaya za Kishapu na Shinyanga wametembelea mabanda mbalimbali.Kilele cha maonesho hayo ni Juni 02,2015.
Hapa ni katika banda la Chuo cha...

 

10 years ago

Habarileo

Membe: Nitawainua wajasiriamali wadogo

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe , ametangaza kupambana na makundi ya wala rushwa na mafisadi na kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kama mama lishe kukuza uchumi wao.

 

10 years ago

StarTV

SIDO, Wajasiriamali Mbeya waanzisha viwanda 48 Mbeya.

Na Amina Saidi,

Mbeya.

 

Shirika la kuhudumia viwanda vidogo vidogo nchini, SIDO Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na wajasiriamali limefanikiwa kuanzisha viwanda 48 vya kuongeza thamani ya mazao ya Mpunga, Alizeti na usindikaji wa chakula cha mifugo.

 

Uanzishwaji wa viwanda hivyo ni sehemu ya mkakati wa Taifa wa kuongeza uzalishaji na thamani ya mazao yanayolimwa kwa wingi katika kila wilaya nchini.

 

Lengo la mkakati huo ni kuwa na kongamano/cluster za mazao ya biashara yatakayopewa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi za fedha ziwezeshe wajasiriamali wadogo

DSC01368

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akikagua vyungu vilivyotengenezwa na wajasiriamali wa wilaya ya Iramba ambao wanashiriki maonesho ya 12 ya SIDO kanda ya kati yanayoendelea mjini Singida.

DSC01338

Afisa Mwanadaamizi wa Masoko wa Shirika la viwango (TBS), Gladness Kaseka (kushoto) akimpa maelezo Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, juu ya shughuli zinazofanywa na shirika hilo. Dk.Kone alikuwa akikagua mabanda ya wajasiriamali na taasisi mbalimbali wanaoshiriki maonesho ya bidhaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Nembo ya TBS inawanyanyua wajasiriamali wadogo nchini?

Hamasa imekuwa ikitolewa kwa walaji kutumia bidhaa ambazo zina nembo ya ubora ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kuepuka kutumia vitu vya kughushi, kama vinavyojulikana kwa wengi; feki.

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida

DSC01194

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari  juu  ya kufanyika kwa maonesho ya SIDO kanda ya kati kuanzia Agosti 26 hadi septemba mosi mwaka huu mjini Singida. SIDO kanda ya kati inajumuisha mikoa ya Singida, Tabora na Kigoma.Katika maonesho hayo, bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wajasiriamali na wafanyabiashara ndogo. DSC01201 DSC01193 Baadhi ya maafisa wa  serikali na SIDO mkoani hapa wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani