Taasisi za fedha ziwezeshe wajasiriamali wadogo
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akikagua vyungu vilivyotengenezwa na wajasiriamali wa wilaya ya Iramba ambao wanashiriki maonesho ya 12 ya SIDO kanda ya kati yanayoendelea mjini Singida.
Afisa Mwanadaamizi wa Masoko wa Shirika la viwango (TBS), Gladness Kaseka (kushoto) akimpa maelezo Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, juu ya shughuli zinazofanywa na shirika hilo. Dk.Kone alikuwa akikagua mabanda ya wajasiriamali na taasisi mbalimbali wanaoshiriki maonesho ya bidhaa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Pinda akabidhi fedha za ruzuku kwa wachimbaji wadogo wadogo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Bw. Juma Digalu wa Kampuni ya Uchimbaji Mdini ya Mwalazi, hudndi ya Dola za Marekani 50,000 akiwa ni mmoja ni mmoja wa wachimbaji madini wadogowadogo waliopatiwa ruzuku na serikali kupitia Benki ya TIB. Hafla ya kukabidhi hundi hizo ilifnyika kwenye Chuo cha Madini cha Dodoma Aprili 9, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nisahati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Stephen Masele na Kulia ni...
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKABIDHI FEDHA ZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO,MJINI DODOMA
10 years ago
Habarileo26 Jun
Membe: Nitawainua wajasiriamali wadogo
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe , ametangaza kupambana na makundi ya wala rushwa na mafisadi na kutoa fursa kwa wajasiriamali wadogo kama mama lishe kukuza uchumi wao.
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Nembo ya TBS inawanyanyua wajasiriamali wadogo nchini?
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Mabadiliko makubwa ya kisera kuinua wajasiriamali wadogo na wa kati
Mkuu wa utafiti na machapisho ESRF, Profesa Fortunata Makene akifungua warsha.
Mwasilishaji wa mada Hossana Mpango akizungumza na washiriki (hawapo pichani) kwenye warsha hiyo.
Washiriki wa warsha ya siku moja ya ujasiriamali mdogo na wa kati katika muktadha wa fedha iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF).
Na Mwandishi wetu
SERIKALI imetakiwa kufanya mabadiliko makubwa ya kisera kuwezesha kukua kwa viwanda vidogo na vya kati ...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Saccos hazijapunguza manyanyaso ya riba kwa wajasiriamali wadogo
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
SIDO Iringa yawakopesha wajasiriamali wadogo zaidi ya sh milioni 229.9
Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya.
Na Fredy Mgunda, Iringa
SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 229.9 kwa wajasiriamali wa mkoa huo, katika kipindi cha July mpaka Desemba mwaka jana.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha wajasiriamali Wadogo kupata mitaji, na kuinua uchumi wao ili waondokane na...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/Mkuu-wa-utafiti-na-machapisho-ESRF-profesa-Fortunata-makene-akifungua-warsha.jpg)
MABADILIKO MAKUBWA YA KISERA KUINUA WAJASIRIAMALI WADOGO NA WA KATI
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Taasisi ya Manjano Foundation wazindua mafunzo ya wajasiriamali
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd, Mama Shekha Nasser akitoa mada kwenye Mradi wake aliouanzisha kuwejengea Uwezo wanawake Kwenye Ujasiriamali.Mafunzo hayo yalianza jana Chini ya Taasisi ya Manjano Foundation.Lengo la Mradi huo ni kuwajengea Uwezo wanwake wa Kitanzania Kupitia Bidhaa bidhaa za Vipodozi vya Luv touch Manjano kujisimamia na Kujikita Vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara kwa lengo la Kumjengea uwezo Mwanamke wa Kitanzania.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10