MH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA MIFUGO DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YyUfRhmKTQU/U-JfFci3QmI/AAAAAAAF9p8/35Cv3NfO5qw/s72-c/unnamed+(58).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama mapishi ya pilau la kuku ya Mama Irene mamuya (kulia) wa Chako ni Chako Dodoma katika maonyesho ya wakulima Nanenane yaliyofanyika kwenye uwanja wa Nzuguni Dodoma August 6, 2014.
Ngombe mwenye kilo 1000 kutoka Mafinga Iringa akipita mbele ya mgeni rasmi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika mashindano ya mifugo yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye uwanja wa Nzuguni wa Nanenane mjini Dodoma August 6, 2014.
Ngombe wakiwa wamejipanga katika maonyesho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gm1tFkGZPgs/VAneM-dVP5I/AAAAAAAGfGE/AruXRioL8zY/s72-c/unnamed.jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gm1tFkGZPgs/VAneM-dVP5I/AAAAAAAGfGE/AruXRioL8zY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--ZA5rmoZUvM/VAneM5-Wp2I/AAAAAAAGfGI/QpRtr2B40g4/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana (kushoto) baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza, Septemba 5, 2014. Kulia ni mfugaji na Mkulima kutoka Kiteto. Papian Emmanuel.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn14TPJFoNk/VAneMxhZkCI/AAAAAAAGfGQ/Ha2ETP6v9Mw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
PINDA afungua mashindano ya UMISETA jijini Mwanza
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akikagua kundi la waamuzi na walimu wa michezo wa shule za sekondari baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 10, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya kanda ya ziwa baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA...
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA UMISETA, JIJINI MWANZA LEO
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MASHINDANO YA TUSA
10 years ago
Dewji Blog12 May
Pinda afungua maonyesho ya elimu Dodoma
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
Pinda afungua baraza kuu la vijana Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipofungua semina ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa kwenye ukumbi wa CCM White House mjini Dodoma Novemba 7, 2014. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QxMfN9nASuM/VVDTU67CwqI/AAAAAAAHWug/itJybr_OZfQ/s72-c/PG4A2164.jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MAONYESHO YA ELIMU MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QxMfN9nASuM/VVDTU67CwqI/AAAAAAAHWug/itJybr_OZfQ/s640/PG4A2164.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
PINDA afungua mkutano wa nne wa mfuko wa PSPF — Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Nne wa PSPF baada ya kufangua mkutano huo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Februari 18, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Tuzo Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Rasirimaliwatu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ernest Maalugu, ikiwa ni heshima kwa wizara hiyo kutokana na umakini wa hali ya juu katika kuwasilisha makto ya michango ya watumishi wake kwa Mfuko wa...