Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fursa ya kukuza soka itumike vizuri Kombe la FA

Uamuzi uliofikiwa juzi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kurejesha mashindano ya kombe la chama hicho, maarufu FA Cup unafaa kupongezwa na wanamichezo na wadau  wote wa soka nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kombe la FA litumike kukuza soka nchini

Ligi yetu ya soka imeanza mwishoni mwa wiki huku tukishuhudia mipango ya kufufuliwa kwa mashindano mengine ambayo miaka ya nyuma yaliibeba soka ya nchi yetu.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Umiseta, Umitashumta itumike vizuri

>Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta) yamemalizika juzi kwenye viwanja vya Shirika la Elimu, Kibaha.

 

10 years ago

Mwananchi

lugha yetu ya Kiswahili inajitosheleza, itumike vizuri

Baada ya kutafakari juu ya matumizi yasiyo sahihi ya lugha yetu ya Kiswahili, hivi karibuni nilishawishika kuandika ili kutoa mchango wangu kuhimiza matumizi ya lugha yetu kila mahali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utalii Tanzania, A.Kusini kukuza fursa za kiuchumi

HIVI karibuni ulifanyika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Utalii Cape Town Afrika Kusini na kuhudhuliwa na watu zaidi ya 360. Mkutano huo wa mwaka ulifunguliwa na Waziri wa Utalii wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Lango la biashara Falme za Kiarabu, ni fursa ya Watanzania kukuza uchumi

Ukuzaji fursa za Kiuchumi Afrika (Agoa), ni mpango ulioanzishwa kwa minajili ya kuziwezesha nchi za Afrika kuuza bidhaa zao Marekani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali watumia fursa za Kombe la Dunia

Zimebaki siku tatu kabla ya kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil, huku fainali hizo zikitarajiwa kusaidia kupunguza tatizo la ajira nchini humo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Idd apania kukuza michezo jimboni, akabidhi vifaa kwa timu 60 za soka

962

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Seti za Jezi na Mipira Mmoja wa Viongozi wa timu 60 zilizomo ndani ya Jimbo la Kitope hapo Kijiji cha Kipandoni Upenja Wilaya ya Kaskazini “B”. Kati kati yao ni Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi.

985

Kocha na Kepteni wa Timu ya Soka ya Kipandoni Star Jeilan Omar Jeilan akipokea mchango wa shilingi 500,000/- kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi kwa ajili ya kununulia Posi na Nyafu kwa ajili ya Kwinja chao...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA

Mkuu wa Mkoa Dodoma na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kufungua mkutano wa baraza hilo Mjini Dodoma Feb. 13,2015. Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) Ndg. Raymond Mbilinyi akiwasilisha majukumu ya Baraza hilo katika kusaidia mabaraza ya biasara ya Mkoa na jinsi ya kukuza ushirikiano kati ya Serikali na Sekta binafsi wakati wa mkutao wa baraza la biashara la Dodoma Feb. 13, 2015. Wajumbe wa baraza la biashara Mkoa wa Dodoma...

 

10 years ago

Dewji Blog

TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki mabingwa wa kombe la UVCCM

DSC00756

Mlezi wa jumuiya ya wazazi (CCM)  wilaya ya Ikungi, Elibariki Kingu akizumgumza na wapenzi wa soka na wachezaji muda mfupi kabla ya kuanza kwa mechi ya fainali kati ya timu ya soka ya kata ya Irisya na Mkiwa, uliofanyika katika uwanja wa shule ya sekondari ya kata ya Ikungi.

Na Nathaniel  Limu, Ikungi

TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki,imetawazwa kuwa mabingwa wa kombe la UVCCM wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kwa kipindi cha mwaka 2014/2015, baada ya kuichapa timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani