Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la FA litumike kukuza soka nchini

Ligi yetu ya soka imeanza mwishoni mwa wiki huku tukishuhudia mipango ya kufufuliwa kwa mashindano mengine ambayo miaka ya nyuma yaliibeba soka ya nchi yetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Fursa ya kukuza soka itumike vizuri Kombe la FA

Uamuzi uliofikiwa juzi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kurejesha mashindano ya kombe la chama hicho, maarufu FA Cup unafaa kupongezwa na wanamichezo na wadau  wote wa soka nchini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Idd apania kukuza michezo jimboni, akabidhi vifaa kwa timu 60 za soka

962

Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Seti za Jezi na Mipira Mmoja wa Viongozi wa timu 60 zilizomo ndani ya Jimbo la Kitope hapo Kijiji cha Kipandoni Upenja Wilaya ya Kaskazini “B”. Kati kati yao ni Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi.

985

Kocha na Kepteni wa Timu ya Soka ya Kipandoni Star Jeilan Omar Jeilan akipokea mchango wa shilingi 500,000/- kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi kwa ajili ya kununulia Posi na Nyafu kwa ajili ya Kwinja chao...

 

10 years ago

GPL

E-FM YAPANIA KUKUZA MCHEZO WA NDONDI NCHINI

Dennis Ssebo akipanga mikakati kati ya EFM Redio na Raisi wa WBF Bwana Howard Goldberg pamoja na Francios Botha.
Bondia Wang Xian Hua akiwa na mkalimani wake ndani ya studio za EFMN redio.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yasaidia kukuza vipaji nchini

DSC03123 (FILEminimizer)

Kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo imeamua kutoa udhamini kwa watoto wa kitanzania wanaocheza mpira wa kikapu, (basketball) kwenda nchini Canada kwa ajili ya mashindano yanayojulikana kama Basketball tournament.

Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja amesema,moja ya sehemu ya sera ya kampuni ni kukabiliana na changamoto mbalimbali katika jamii ikiwa  ni pamoja na kukuza michezo.Hii ni kutokana na watanzania wengi wanapenda michezo kwa hiyo basi tigo inashriki katika kukuza...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania na Poland kukuza sekta ya kilimo nchini

01

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiongea na ujumbe wa wataalam wa kilimo kutoka nchini Poland ulioongozwa na Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini wa Poland Bi. Zofia Szalczyk hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa mkutano uliohusu makubaliano yanalenga kuinua sekta ya kilimo na kurahisisha upatikanaji wa matrekta hapa nchini. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kayandabila.

02

Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Nguvu ya ziada inahitajika kukuza elimu nchini

Moyo wangu umejaa huzuni. Ni huzuni inayotokana na kuongezeka kwa watu, hasa watoto wasiokuwa na elimu nchini.

 

10 years ago

Dewji Blog

TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki mabingwa wa kombe la UVCCM

DSC00756

Mlezi wa jumuiya ya wazazi (CCM)  wilaya ya Ikungi, Elibariki Kingu akizumgumza na wapenzi wa soka na wachezaji muda mfupi kabla ya kuanza kwa mechi ya fainali kati ya timu ya soka ya kata ya Irisya na Mkiwa, uliofanyika katika uwanja wa shule ya sekondari ya kata ya Ikungi.

Na Nathaniel  Limu, Ikungi

TIMU ya soka ya kata ya Mkiwa jimbo la Singida mashariki,imetawazwa kuwa mabingwa wa kombe la UVCCM wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kwa kipindi cha mwaka 2014/2015, baada ya kuichapa timu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Urani inaweza kuua au kukuza uchumi nchini

Tanzania inaanza kuchimba madini ya urani katika mbuga ya wanyama ya Selous, eneo lililo chini ya udhamini wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughilikia mazingira maarufu kama World Heritage.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani