FBF wamzawadia bingwa Umitashumta
BINGWA wa Michezo ya Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), Tumaini James juzi alizawadiwa baada ya kufanya vizuri katika mchezo wa riadha taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Wazee wamzawadia Lowassa ng’ombe
Na John Maduhu, Mwanza
BARAZA la wazee Wilaya ya Nyamagana na Ilemela jijini Mwanza, limempatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ng’ombe wawili ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono katika harakati zake za kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), muda ukifika.
Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa, wakati wa kupokea mrejesho wa Umoja wa Shirika la Machinga Mwanza(SHIUMA), waliokwenda wilayani Monduli, mkoani Arusha kumshawishi Lowassa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKV28w-G2WMgx9zdLl3SykartXHniLhPwLdY-C5nsaSxV-QpwM4I*ILk0SWicWkoA13g9L9qotOa6lsmy9TTF0O4/22.jpg)
Mashabiki wamzawadia gari msuva
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qSgurokd8S8/VHtBC7dYauI/AAAAAAABOVk/uOmmnvr-Jl8/s72-c/0.jpg)
Tughe NHIF wamzawadia Humba mil.10
![](http://4.bp.blogspot.com/-qSgurokd8S8/VHtBC7dYauI/AAAAAAABOVk/uOmmnvr-Jl8/s1600/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TKuFewvRKvM/VHtAwuMqA3I/AAAAAAABOVY/am7Xlcq-2w0/s1600/1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Nachingwea mabingwa soka Umitashumta Lindi
WILAYA ya Nachingwea mkoani hapa, imetawazwa mabingwa wapya wa soka katika michuano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), ngazi ya mkoa, baada ya kuwalaza waliokuwa...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
MAONI: Umiseta, Umitashumta itumike vizuri
11 years ago
Mwananchi26 Jun
UMITASHUMTA: Magharibi, Kati waanza kwa dhahabu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAFIKIA ROBO FAINALI JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJYIk-14aF4/VZLX_r883NI/AAAAAAAHl8U/Dd2eCLrE2NM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kB238HMM_VA/Xm4Woqw5FvI/AAAAAAALjvY/wMk46mT5AeE9aofmg9UUJX1GvtYcSVM2ACLcBGAsYHQ/s72-c/66bd3974-9bf8-412d-a965-db8aecfd0ecf%2B%25281%2529.jpg)
SERIKALI YASITISHA MASHINDANO YA UMISETA/UMITASHUMTA KUHOFIA MAAMBUKIZI YA CORONA
Charles James, Michuzi TV
Serikali imesitisha mashindano ya michezo kwa wanafunzi katika ngazi ya Shule ya Msingi na Sekondari (Umiseta, Umitashumta) yaliyokua yafanyike hivi karibuni kutokana na tishio la maambukizi ya ugonjwa wa Corona hadi hapo itakapotangazwa baadae.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo amesema pamoja na kusitisha mashindano hayo pia shule zitakazofanya mahafali ya kidato cha sita hazitoruhusiwa...