Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UMITASHUMTA: Magharibi, Kati waanza kwa dhahabu

Wanariadha, Agatha Paulo wa Kanda ya Magharibi na Jilunga Amos (Kanda ya Kati) wamekuwa wanamichezo wa kwanza kutwaa medali za dhahabu kwenye michuano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UJENZI WA KISIWA CHA KITALII WAANZA KATIKA ENEO LA MTONI MARINE KASKAZINI MAGHARIBI ZANZIBAR

 Sehemu  inayoendelea kufukiwa hapo Mtoni Marine ambayo itatumika hapo baadae kwa ajili ya eneo maalum litakalotoa fursa kwa Wananchi  kupata mapumziko.{ Public Beach }.  Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji Vitega Uchumi Zanzibar { ZIPA } Nd. Salum Khamis Nassor  akimueleza Balozi Seif  hatua zinazochukuliwa na Taasisi yake katika kuona taratibu za uwekezaji zinachukuliwa kwa wanaowekeza vitege uchumi vyao Nchini. 
MRADI mkubwa wa Kimataifa wa ujenzi wa kisiwa cha Kitalii  ambacho...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa urais waanza Afrika ya Kati

Raia nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati wanapiga kura leo katika uchaguzi wa urais na ubunge ambao unalenga kurejesha uthabiti nchini humo.

 

9 years ago

Habarileo

FBF wamzawadia bingwa Umitashumta

BINGWA wa Michezo ya Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), Tumaini James juzi alizawadiwa baada ya kufanya vizuri katika mchezo wa riadha taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Umiseta, Umitashumta itumike vizuri

>Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta) yamemalizika juzi kwenye viwanja vya Shirika la Elimu, Kibaha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nachingwea mabingwa soka Umitashumta Lindi

WILAYA ya Nachingwea mkoani hapa, imetawazwa mabingwa wapya wa soka katika michuano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), ngazi ya mkoa, baada ya kuwalaza waliokuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Baisikeli iliyotengezwa kwa dhahabu

Ni rahisi sana kwa watu kulalamikia gharama ya kununu baisekli watu wengi wakitaka bei nafuu. Nyingi ya baiskeli nchini Uingereza huuzwa kwa pauni 1,000 shilingi lakini moja na arobaini pesa za Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuchimba dhahabu kutoka kwa Kinyesi !

Amini usiamini wanasayansi nchini Marekani wameanza mikakati ya kusafisha dhahabu kutoka kwa kinyesi cha watu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mji wa dhahabu unaongoza kwa mabilionea

Mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini ndio mji ulio na idadi kubwa zaidi ya watu tajiri zaidi au mabilionea barani Afrika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani