Rapper K.O aongoza kwenye orodha ya ‘MTV Base Hottest MCs 2014’
Rapper K.O aliyeshirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘No Body But Me’ ametajwa kuwa ndiye MC mkali zaidi Afrika Kusini kwa mwaka 2014, kwa mujibu wa orodha ya ‘MTV Base SA’s Hottest MCs 2014’ Cassper Nyovest ndiye ameshika nafasi ya pili akifuatiwa na mpinzani wake AKA aliyeko kwenye nafasi ya tatu. Vigezo vilivyotumiwa na majaji […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Dec
Vanessa Mdee ashika nafasi ya pili kwenye orodha ya MTV Base ya wasanii wa kike walio juu Afrika
![12346294_444980479044924_1318155553_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12346294_444980479044924_1318155553_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee amekuwa na mwaka wenye mafanikio makubwa kimataifa.
Ndio muimbaji wa kike aliye busy zaidi na show si ndani tu ya Tanzania, bali Afrika nzima.
MTV Base wametoa orodha ya wasanii watano walio juu Afrika kwa sasa na hitmaker huyo wa Never Ever akishika nafasi ya pili.
Orodha hiyo ni:
1. Yemi Alade (Nigeria)
2. Vanessa Mdee (Tanzania)
3. Seyo Shay (Nigeria)
4. Cynthia Morgan (Nigeria)
5. Bucie (Afrika Kusini)
10 years ago
Bongo505 Nov
Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TF2Fy8zO-Mo/U2dvkuG-fdI/AAAAAAAFfnE/3Ra_NIjhMRY/s72-c/MTV-Africa-Music-Awards-official-logo-2014.jpg)
MTV BASE'S "ROAD TO MAMA 2014" HITS TANZANIA AS COUNTDOWN CONTINUES
![](http://4.bp.blogspot.com/-TF2Fy8zO-Mo/U2dvkuG-fdI/AAAAAAAFfnE/3Ra_NIjhMRY/s1600/MTV-Africa-Music-Awards-official-logo-2014.jpg)
Featuring contemporary artists and music that are making waves across the continent, Road To MAMA Tanzania is a pan-African club tour, criss-crossing the continent in the build up to...
10 years ago
Bongo529 Apr
Wanjera ya Ommy Dimpoz yaingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya MTV Base
9 years ago
Bongo530 Sep
‘Game’ ya Navy Kenzo yakamata namba 1 kwenye ‘Official African Chart ‘ ya MTV Base
9 years ago
MillardAyo16 Dec
GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base
Wasanii wawili wanaounda kundi la Navy Kenzo (Aika & Nahreel) wanazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wao Game waliyomshirikisha Vanessa Mdee kuendelea kushika nafasi ya kwanza kwenye chati za MTV Base. Huku wakizishinda video 7 zilizoingia katika chati hiyo ya MTV Base. 7.Tecno – Duro 6.Joh Makini – Don’t Bother ft AKA 5.Cassper […]
The post GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYmbCeRuJDt1VKvv1Ue3Kv2zGBjQnMVcXfDchveOb2zFbCf0YaeyKiWaah*DDUoZ18bO8VTwD4zGKJQKdbYL5whD/Micasa1.jpg?width=650)
SOUTH AFRICAN SUPERSTARS MI CASA ADDED TO LINEUP FOR MTV BASE’S ROAD TO MAMA 2014 TANZANIA
10 years ago
Bongo525 Aug
MTV VMA 2014: Beyonce azoa tuzo nyingi zaidi, Drake, Eminem, Miley Cyrus pia washinda (orodha kamili)
9 years ago
Bongo524 Nov
Diamond aongoza kwenye orodha ya ‘Top 15 African Artists of 2015’ ya Afrimma
![mondi new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mondi-new-300x194.jpg)
Waandaaji wa tuzo za African Muzik Magazine (AFRIMMA) wametoa orodha yao ya wasanii 15 bora wa Afrika kwa mwaka huu, ‘Top 15 African Artists of 2015’.
Kupitia website yao, Afrimma wameandika kuwa Diamond Platnumz ndiye msanii aliyeshika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo, huku Wzkid kutoka Nigeria akifata kwenye nafasi ya pili, Olamide kwenye nafasi ya tatu na na Davido akiwa kwenye nafasi ya nne.
Kwenye tuzo za Afrimma mwaka huu zilizofanyika Oct. 10 Dallas, Marekani, Diamond alishinda...