Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper K.O aongoza kwenye orodha ya ‘MTV Base Hottest MCs 2014’

Rapper K.O aliyeshirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘No Body But Me’ ametajwa kuwa ndiye MC mkali zaidi Afrika Kusini kwa mwaka 2014, kwa mujibu wa orodha ya ‘MTV Base SA’s Hottest MCs 2014’ Cassper Nyovest ndiye ameshika nafasi ya pili akifuatiwa na mpinzani wake AKA aliyeko kwenye nafasi ya tatu. Vigezo vilivyotumiwa na majaji […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee ashika nafasi ya pili kwenye orodha ya MTV Base ya wasanii wa kike walio juu Afrika

12346294_444980479044924_1318155553_n

Vanessa Mdee amekuwa na mwaka wenye mafanikio makubwa kimataifa.

12346294_444980479044924_1318155553_n

Ndio muimbaji wa kike aliye busy zaidi na show si ndani tu ya Tanzania, bali Afrika nzima.

MTV Base wametoa orodha ya wasanii watano walio juu Afrika kwa sasa na hitmaker huyo wa Never Ever akishika nafasi ya pili.

Orodha hiyo ni:

1. Yemi Alade (Nigeria)
2. Vanessa Mdee (Tanzania)
3. Seyo Shay (Nigeria)
4. Cynthia Morgan (Nigeria)
5. Bucie (Afrika Kusini)

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014

Beyonce ndiye mwanamke kwenye muziki aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka 2014. Kwa mujibu wa jarida la Forbes, mke huyo wa Jay Z ameingiza dola milioni 115 mwaka huu ikiwa ni zaidi ya nusu ya aliyoingiza mwaka jana. Fedha hizo zimepatikana zaidi kutokana na ziara yake ya muziki duniani na hivyo kumpiku Taylor Swift ambaye mwaka […]

 

11 years ago

Michuzi

MTV BASE'S "ROAD TO MAMA 2014" HITS TANZANIA AS COUNTDOWN CONTINUES

As the countdown continues to the 2014 MTV Africa Music Awards (MAMA), an all-star line-up of the hottestMAMA nominees and DJs are set to headline Tanzania's very own Road To MAMA party.  The pan-African party tour arrives in Dar es Salaam on 16 May before heading onto Lagos at the end of the month.
Featuring contemporary artists and music that are making waves across the continent, Road To MAMA Tanzania is a pan-African club tour, criss-crossing the continent in the build up to...

 

10 years ago

Bongo5

Wanjera ya Ommy Dimpoz yaingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya MTV Base

Video ya wimbo wa Ommy Dimpoz, ‘Wanjera’ imeingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya kituo cha runinga cha MTV Base. Chart hiyo ya nyimbo 10 inajulikana kwa jina la ‘Official African Chart’. Wanjera imekamata nafasi ya 09 wiki hii. Video hiyo ilifanyika nchini Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather. Wema Sepetu na Idris Sultan […]

 

9 years ago

Bongo5

‘Game’ ya Navy Kenzo yakamata namba 1 kwenye ‘Official African Chart ‘ ya MTV Base

Navy Kenzo wanaendelea kula matunda ya juhudi zao katika muziki, ambapo uwekezaji walioufanya kwenye video yao ya ‘Game’ unaendelea kuzaa matunda. Hatimaye hit song yao ‘Game’ imefanikiwa kupanda hadi namba 1 wiki hii kwenye chati ya video bora za Afrika, ‘Official African Chart’ ya kituo cha MTV Base. Hadi sasa ‘Game’ imewafungulia Navy Kenzo njia […]

 

9 years ago

MillardAyo

GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base

Wasanii wawili wanaounda kundi la Navy Kenzo (Aika & Nahreel) wanazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wao Game waliyomshirikisha Vanessa Mdee kuendelea kushika  nafasi ya kwanza kwenye chati za MTV Base. Huku wakizishinda video 7 zilizoingia katika chati hiyo ya MTV Base. 7.Tecno – Duro 6.Joh Makini – Don’t Bother ft AKA 5.Cassper […]

The post GoodNews ni hapa ilipofikia video ya #Game ya Navy Kenzo kwenye chati za MTV Base appeared first on...

 

11 years ago

GPL

SOUTH AFRICAN SUPERSTARS MI CASA ADDED TO LINEUP FOR MTV BASE’S ROAD TO MAMA 2014 TANZANIA‏

SOUTH AFRICAN SUPERSTARS MI CASA ADDED TO LINEUP FOR MTV BASE’S ROAD TO MAMA 2014 AS COUNTDOWN CONTINUES TO “THE MTV AFRICA MUSIC AWARDS KWAZULU-NATAL SUPPORTED BY ABSOLUT & THE CITY OF DURBAN”
Hot Club Night & Nominee Celebration To Take Place At Club Bilicanas, Dar es Salaam, 16 May…

 

10 years ago

Bongo5

MTV VMA 2014: Beyonce azoa tuzo nyingi zaidi, Drake, Eminem, Miley Cyrus pia washinda (orodha kamili)

Beyonce licha ya kupata tuzo ya ‘Michael Jackson Video Vanguard Award, ndiye aliyeshinda tuzo nyingi zaidi katika MTV VMA 2014 zilizofanyika Jumapili (Agosti 24), huko California, Marekani. Bey alishinda tuzo nyingine tatu, ‘Best Collaboration’ na Jay Z, ‘Best Video With a Social Message’ pamoja na ‘Best Cinematography’. Wengine walioshinda ni Drake, Miley Cyrus, Eminem na […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond aongoza kwenye orodha ya ‘Top 15 African Artists of 2015’ ya Afrimma

mondi new

Waandaaji wa tuzo za African Muzik Magazine (AFRIMMA) wametoa orodha yao ya wasanii 15 bora wa Afrika kwa mwaka huu, ‘Top 15 African Artists of 2015’.

mondi new

Kupitia website yao, Afrimma wameandika kuwa Diamond Platnumz ndiye msanii aliyeshika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo, huku Wzkid kutoka Nigeria akifata kwenye nafasi ya pili, Olamide kwenye nafasi ya tatu na na Davido akiwa kwenye nafasi ya nne.

Kwenye tuzo za Afrimma mwaka huu zilizofanyika Oct. 10 Dallas, Marekani, Diamond alishinda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani