ORODHA KAMILI YA WANAOWANIA TUZO ZA TASWA 2013/2014
KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo. Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao. Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku hiyo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za TASWA 2013/2014 haya hapa
Mwenyekiti Kamati ya Tuzo, Bw. Rehure Nyaulawa.
KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo.
Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cLmxRny4Kcw/VH_2K8J0w1I/AAAAAAAG1Fo/o9PL5mg8qfw/s72-c/TASWALOGO.jpg)
KAMATI YA KUSIMAMIA TUZO ZA TASWA YATOA ORODHA YA WANAMICHEZO WANAOWANIA TUZO HIZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cLmxRny4Kcw/VH_2K8J0w1I/AAAAAAAG1Fo/o9PL5mg8qfw/s1600/TASWALOGO.jpg)
Usiku wa Tuzo utafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku...
10 years ago
Bongo506 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)
10 years ago
Bongo525 Aug
MTV VMA 2014: Beyonce azoa tuzo nyingi zaidi, Drake, Eminem, Miley Cyrus pia washinda (orodha kamili)
9 years ago
Bongo520 Oct
Orodha ya wanasoka 23 wanaowania tuzo ya Ballon D’or 2015
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-KbLhEYGEKqA/VUTvZxGVtGI/AAAAAAAABdU/7t610w26Sg8/s72-c/kili-copy.jpg)
LIST KAMILI YA WANAOWANIA TUZO ZA KTMA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-KbLhEYGEKqA/VUTvZxGVtGI/AAAAAAAABdU/7t610w26Sg8/s1600/kili-copy.jpg)
MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIUME
1. Mzee Yusuf
2. Christian Bella
3. Diamond Platnumz
4. Ally Kiba
MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIKE
1. Vanessa Mdee
2. Khadija Kopa
3. Isha Mashauzi
4. Shaa
5. Dayna Nyange
MWIMBAJI BORA WA KIUME- BONGO FLEVA
1. Ali Kiba
2. Ben Pol
3. Jux
4. Diamond
5. Belle 9
MWIMBAJI BORA WA KIUME- TAARAB1. Mzee Yussuf
2. Prince Amigo
3. Hassan Vocha
4. Hassan Ally
5. Mussa Kijoti
MWIMBAJI BORA WA KIUME- BENDI
1. Jose Mara
2. Kalala Junior
3. Khalidi Chokoraa
4. Chaz Baba
5....
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tALA7tZzY3U/U2aOrL3CdkI/AAAAAAAFfjw/VZa91m2G7nA/s72-c/KTMA26.jpg)
Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013
![](http://2.bp.blogspot.com/-tALA7tZzY3U/U2aOrL3CdkI/AAAAAAAFfjw/VZa91m2G7nA/s1600/KTMA26.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mLHzKkgzGEM/U2aMCT-qO9I/AAAAAAAFfjc/hjgXNG16wgs/s1600/a2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kd_xzZ4vFPo/U2aMGjoeNTI/AAAAAAAFfjk/fTNRx2gLBAg/s1600/a6.jpg)
1.Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Tanzania ilichukuliwa na wimbo wa Bora Mchawi (Dar Bongo Massive). 2.Msanii Bora chipukizi (Young Killer). 3. Wimbo bora wa Zouk...
10 years ago
Bongo528 Oct
FIFA yatoa orodha ya wachezaji 23 wanaowania Ballon d’Or 2014.