Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari aliyeambukizwa Ebola asafarishwa

Daktari wa Marekani aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola amewasili nchini humo kutoka Liberia ili kupata matibabu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yamuua daktari Marekani

Daktari Martin Salia kutoka nchini Sierra Leone aliyekuwa anapokea matibabu ya Ebola nchini Marekani amefariki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Daktari afariki na Ebola Liberia

Idara ya afya nchini Liberia imetangaza kuwa Daktari mmoja wa Ebola amefariki kutokana na viini vya ugonjwa huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Daktari aaga Nigeria

Serikali ya Nigeria imethibitisha kutokea kifo cha daktari mmoja kutokana na ugonjwa wa Ebola katika mji wa Port Harcout nje ya mji wa Lagos.

 

11 years ago

BBCSwahili

Daktari aambukizwa Ebola nchini Nigeria

Daktari aliyemtibu mgonjwa wa kwanza kupatikana na Ebola nchini Nigeria ameambukizwa ugonjwa huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari: Mgonjwa hakufa kwa ebola

Kaimu mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Yusuph Bwire amesema matokeo ya uchunguzi wa sampuli yaliyotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii yanaonyesha kwamba Salome Richard hakufariki dunia kwa ugonjwa wa ebola bali kwa tatizo la ini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Daktari mwengine wa Ebola aaga dunia

Ripoti kutoka Sierra Leone zinasema kuwa daktari mwengine amefariki kutokana na virusi vya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yauwa daktari mwengine S-Leone

Madaktari 10 sasa wamekufa kutokana na Ebola nchini Sierra Leone peke yake

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola:Daktari adhurika Sierra Leone

Daktari aliyeongoza mapambano dhidi ya Ebola amekutwa na Virusi vya ugonjwa huo

 

5 years ago

CCM Blog

UGANDA KUMRUDISHA MTANZANIA ALIYEAMBUKIZWA CORONA

Wizara ya afya nchini Uganda imethibitisha kuwa ipo katika harakati za kumtafuta raia wa Tanzania aliyepatikana na virusi vya corona kwa lengo la kumrudisha nyumbani.
Mtu huyo wa miaka 34, ambaye ni dereva wa lori kutoka Dar es Salaam, Tanzania aliwasili katika kituo cha mpakani cha Mutukula Aprili 16 ,2020.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya mtu huyo hakuonesha dalili zozote za Covid-19.
Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani