Tasnia Ya Urembo na Vipodozi Ilivyoathirika na Tishio la Janga la Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-wQhBkTN_DXc/Xni4IMZSEQI/AAAAAAALkzE/G1nAlKqI3bUV9y9oljMzre_5S7Ol2FxIACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200323-WA0082.jpg)
Tasnia ya urembo na vipodozi nchini imepigwa sana na tishio la Corona nchini. Ingawa serikali imetangaza kufungwa kwa vyuo vikuu na mashule, maafisa wa afya bado hawajatoa miongozo au kuamuru vizuizi vyovyote kuhusu saluni za nywele, wakiwemo vinyozi, watengenezaji kucha, makeup artists nakadhalika. Chama cha Urembo na Vipodozi Tanzania (TCA) inajitahidi kutoa elimu ya kujilinda kwa virusi vya Corona kwa wanachama wake lakini inaona gap kubwa iliyopo ambapo elimu hii yapaswa kuwafikia wenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jan
Vipodozi tishio afya za Watanzania
IMEELEZWA kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania, sawa na watu milioni 31.5, wako hatarini kupata magonjwa ya ngozi, kutokana na kutumia vipodozi visivyo sahihi.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PjQLxVLqY6M/VevqNiCYdYI/AAAAAAAAY6I/LZPBQC50KYY/s72-c/009..jpg)
KAMPUNI YA UREMBO YA MARY KAY, YATOA DARASA KWA WAFANYAKAZI WA KIKE WA VODACOM KUHUSU MATUMIZI YA VIPODOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-PjQLxVLqY6M/VevqNiCYdYI/AAAAAAAAY6I/LZPBQC50KYY/s640/009..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N6MUqv4Fe2I/VevrD6CU7sI/AAAAAAAAY6Y/sn1cWgJtKyU/s640/001..jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Hali mbaya ya hewa inapochanganyika na janga la Corona
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Virusi vya corona: Jinsi wakimbizi walivyoathirka na janga la corona Afrika
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e75f83c8ea98.jpg)
WANAOUGUA CORONA NI WENGI ZAIDI KULIKO WENYE VIRUSI VYA CORONA ...MUNGU TUPONYE NA JANGA HILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-zsbWpQOj7OY/XoBQO7D4g3I/AAAAAAALlb8/hkcBo6cT2oA_o1qZIGQCUr8L86ISh_VAwCLcBGAsYHQ/s640/5e75f83c8ea98.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
TUKUBALIANE nitakachoelezea hapa hakuna uhusiano na ukweli wa moja kwa moja ila ni mtazamo wangu wa kijinga uliojaa na upumbavu ndani yake.
Nataka kuzungumzia ugonjwa hatari wa COVID-19 ( Corona) ambao umeifanya dunia kuhaha kutafuta kinga yake kwa ajili ya kuokoa maisha ya wanadamu. Corona haina adabu kabisa inakatisha maisha ya watu bila huruma. Ukweli dunia imekosa furaha kabisa kutokana na virusi vya Corona ambavyo havina tiba wala chanjo.
Nenda...