Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm amtabiria makubwa Ngoma

Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema mshambuliaji wake Donald Ngoma atakuwa tishio zaidi ya ilivyo sasa hapo baadaye akizoea Ligi Kuu Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Pellegrini amtabiria makubwa Guardiola

Pep GuardiolaMANCHESTER, ENGLAND

KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini, amedai kwamba klabu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kama watafanikiwa kumchukua kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola.

Hata hivyo, kocha huyo amesema kuwa bado ana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika mwaka 2017 japokuwa kuna uvumi wa Guardiola kutua hapo Januari mwakani.

Guardiola amekuwa akiwindwa na klabu nyingi za Ligi Kuu nchini England, lakini Man City wanaonekana kuwa katika hatua...

 

9 years ago

Mtanzania

Rooney amtabiria makubwa zaidi Ronaldo

134881LONDON, England

MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney, amekunwa na mafanikio aliyonayo Cristiano Ronaldo na akasema kuwa anavyoamini kuna mambo mazuri atayafanya staa huyo wa timu ya Real Madrid.

Hivi karibuni Ronaldo alifikia rekodi ya  Raul ya kuwa mfungaji bora wa muda wote  katika timu hiyo ya Real Madrid, ikiwa ni baada ya kuwa mchezaji tegemeo muda wote katika timu ya Taifa ya Ureno.

Rooney aliwahi kucheza  na Ronaldo akiwa Man United  kati ya mwaka  2003 na  2009 na...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Del Piero amtabiria Rooney makubwa

Rooney (28) hakufunga katika michezo minane ya Kombe la Dunia aliyocheza akiwa na kikosi cha England.

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga

IMG_3892

 

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,

KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.

Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...

 

9 years ago

Mtanzania

Ngoma ampagawisha pluijm

DONALD NGOMANA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amekunwa na bao alilofunga mshambuliaji, Donald Ngoma, wakati timu hiyo ilipolazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) juzi.

Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ilishuhudiwa Ngoma akifunga bao hilo dakika ya 45 kwa mpira wa kubetua aliopiga baada ya kupokea krosi safi ya juu kutoka kwa beki wa kulia, Juma Abdul na kutuliza vyema...

 

9 years ago

Habarileo

Mwaikimba amtabiria neema Kibadeni

MSHAMBULIAJI wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba, amesema mabadiliko ya benchi la ufundi yaliyofanywa na uongozi wa timu hiyo yatabadilisha mwenendo mbaya walioanza nao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

 

9 years ago

GPL

KIKONGWE MIAKA 100 AMTABIRIA MAGUFULI

Kikongwe Kete Abdallah aliyemtabilia Magufuli. Dustan Shekidele, Morogoro. UTABIRI! Wakati taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali zikitoa matokeo ya utafiti katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu mwezi ujao, kikongwe mmoja, Kete Abdallah mwenye umri wa miaka 100, amemtabiria ushindi mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli. Bibi huyo alitoa utabiri huo wiki iliyopita wakati wa sherehe yake ya kumbukumbu ya kuzaliwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Nabii Mwingira amtabiria Nyalandu ukuu

Lazaro-Nyalandu1Na Ratifa Baranyikwa, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya kutangaza kujitosa rasmi kuwania ukuu wa dola, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameadhimisha sherehe za mwaka mpya wa 2015 katika Kanisa la Efatha huku Mchungaji wa Kanisa hilo, Josephat Mwingira, akimtabiria ushindi wa safari aliyoianza.
Zaidi Mwingira alisema neno hilo ni la kinabii na kusisitiza hakuna wa kumzuia Nyalandu kwa sababu ukuu umeamriwa juu yake.
Katika ibada hiyo ya mkesha wa mwaka mpya ambayo Nyalandu...

 

10 years ago

Bongo5

AY amtabiria Diamond kuchukua tuzo mbili za #CHOAMVA14

Macho, masikio na fikira za mashabiki wengi wa muziki wa Tanzania leo yameelekezwa nchini Afrika Kusini kwenye tuzo zo CHOAMVA. Pamoja na timu yake, awamu hii Diamond amesafiri na mama yake pia Diamond Platnumz anawania vipengele vinne. Mshindi wa zamani wa tuzo hizo, AY ametabiri kuwa Diamond anaweza kuibuka na tuzo mbili. “Kila la kheri […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani