Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRAZIL 2014: Del Piero amtabiria Rooney makubwa

Rooney (28) hakufunga katika michezo minane ya Kombe la Dunia aliyocheza akiwa na kikosi cha England.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Rooney amtabiria makubwa zaidi Ronaldo

134881LONDON, England

MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney, amekunwa na mafanikio aliyonayo Cristiano Ronaldo na akasema kuwa anavyoamini kuna mambo mazuri atayafanya staa huyo wa timu ya Real Madrid.

Hivi karibuni Ronaldo alifikia rekodi ya  Raul ya kuwa mfungaji bora wa muda wote  katika timu hiyo ya Real Madrid, ikiwa ni baada ya kuwa mchezaji tegemeo muda wote katika timu ya Taifa ya Ureno.

Rooney aliwahi kucheza  na Ronaldo akiwa Man United  kati ya mwaka  2003 na  2009 na...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Rooney aona mwezi Brazil

>Mshambuliaji Wayne Rooney alishangilia kwa nguvu baada ya kuivunja rekodi mbaya kwa kufunga bao katika Kombe la Dunia, lakini aliondoka uwanjani akiwa kichwa chini kwa kuchapwa 2-1 na Uruguay.

 

11 years ago

TheCitizen

Brazil 2014: Rooney loses patience with the media critics

England star Wayne Rooney hit back Tuesday at media suggestions that he could be dropped from the World Cup team after he was seen training with the squad’s substitutes.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Rooney lashes out at media claims over future with England

England star Wayne Rooney hit back Tuesday at media suggestions that he could be dropped from the World Cup team after he was seen training with the squad’s substitutes.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kauli ya Scholes ubora wa Rooney kumuweka pabaya

Brazil. Wayne Rooney amesema Paul Scholes anaweza kuwaudhi Manchester United baada ya kudai kuwa kipindi cha ubora cha mshambuliaji huyo wa England kimekwisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Rooney amsemea 'mbovu' Ronaldo, adai anajivuna

Wayne Rooney amemshambuliaji nyota mwenzake wa zamani kwenye klabu ya Manchester United, Cristiano Ronaldo, akidai anajikweza.

 

11 years ago

TheCitizen

Brazil 2014: Much rests for Suarez, Rooney as Uruguay confront England

The pre-match focus ahead of tonight’s Uruguay-England match in Arena De Sao Paulo has centred on strikers Luis Suarez and Wayne Rooney for totally different reasons.

 

9 years ago

Mwananchi

Pluijm amtabiria makubwa Ngoma

Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema mshambuliaji wake Donald Ngoma atakuwa tishio zaidi ya ilivyo sasa hapo baadaye akizoea Ligi Kuu Bara.

 

9 years ago

Mtanzania

Pellegrini amtabiria makubwa Guardiola

Pep GuardiolaMANCHESTER, ENGLAND

KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini, amedai kwamba klabu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kama watafanikiwa kumchukua kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola.

Hata hivyo, kocha huyo amesema kuwa bado ana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika mwaka 2017 japokuwa kuna uvumi wa Guardiola kutua hapo Januari mwakani.

Guardiola amekuwa akiwindwa na klabu nyingi za Ligi Kuu nchini England, lakini Man City wanaonekana kuwa katika hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani