BRAZIL 2014: Del Piero amtabiria Rooney makubwa
Rooney (28) hakufunga katika michezo minane ya Kombe la Dunia aliyocheza akiwa na kikosi cha England.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Rooney amtabiria makubwa zaidi Ronaldo
![134881](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/134881-300x200.jpg)
MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney, amekunwa na mafanikio aliyonayo Cristiano Ronaldo na akasema kuwa anavyoamini kuna mambo mazuri atayafanya staa huyo wa timu ya Real Madrid.
Hivi karibuni Ronaldo alifikia rekodi ya Raul ya kuwa mfungaji bora wa muda wote katika timu hiyo ya Real Madrid, ikiwa ni baada ya kuwa mchezaji tegemeo muda wote katika timu ya Taifa ya Ureno.
Rooney aliwahi kucheza na Ronaldo akiwa Man United kati ya mwaka 2003 na 2009 na...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
BRAZIL 2014: Rooney aona mwezi Brazil
11 years ago
TheCitizen19 Jun
Brazil 2014: Rooney loses patience with the media critics
11 years ago
TheCitizen19 Jun
BRAZIL 2014: Rooney lashes out at media claims over future with England
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Brazil 2014: Kauli ya Scholes ubora wa Rooney kumuweka pabaya
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Brazil 2014: Rooney amsemea 'mbovu' Ronaldo, adai anajivuna
11 years ago
TheCitizen19 Jun
Brazil 2014: Much rests for Suarez, Rooney as Uruguay confront England
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Pluijm amtabiria makubwa Ngoma
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Pellegrini amtabiria makubwa Guardiola
MANCHESTER, ENGLAND
KOCHA wa Manchester City, Manuel Pellegrini, amedai kwamba klabu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kama watafanikiwa kumchukua kocha wa Bayern Munich, Pep Guardiola.
Hata hivyo, kocha huyo amesema kuwa bado ana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mkataba wake utakapomalizika mwaka 2017 japokuwa kuna uvumi wa Guardiola kutua hapo Januari mwakani.
Guardiola amekuwa akiwindwa na klabu nyingi za Ligi Kuu nchini England, lakini Man City wanaonekana kuwa katika hatua...