Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibadeni ampata pacha wa Maguli

Kocha wa Kilimanjaro Stars, Abdallah Kibadeni ‘King’ amesema baada ya kumkosa Mbwana Samatta amelazimika kutengeneza kombineshini mpya ya safu yake ya ushambuliaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOHARI AMPATA MRITHI WA RAY

Brighton masalu MAUMIVU niache! Blandina William Wilbert Chagula ‘Johari’, hatimaye ameondokana na maumivu ya kimapenzi kutoka kwa aliyekuwa mwandani wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kumpata mwanaume anayeamini ndiye mumewe mtarajiwa, Risasi Jumamosi linakujuza. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1LJkHbv

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji ampata na hatia Oscar Pistorius

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp pasi na kukusudia.

 

10 years ago

GPL

WASTARA APORWA POCHI NA MUMEWE,AMKIMBIZA, AMPATA AMSHIKA NYETI

Tunaendelea na Exclusive Interview ya mwigizaji ambaye amepitia mitihani mizito maishani mwake, Wastara Juma. Hakukata tamaa, anaendelea kudunda hadi leo. Mwigizaji ambaye amepitia mitihani mizito maishani mwake, Wastara Juma. Wiki iliyopita tuliishia hapa:
“Baada ya kuwa na ujauzito wazazi wangu waliamua kunichukua nikaenda kukaa nao Zanzibar lakini nikawa nateseka sana ambapo mama yangu aligundua na kusema nije Dar...

 

9 years ago

TheCitizen

Maguli, Samatta goals not enough

Taifa Stars missed a chance to take a giant lead into the second leg of the 2018 World Cup qualifier after playing out a 2-2 draw against Algeria at the National Stadium yesterday.

 

9 years ago

Raia Mwema

Maguli: Nimefarijika kuachana na Simba

LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Maguli, Kwizera Simba hapatoshi

>Safu ya ushambuliaji ya Simba imeimarika baada ya kumsajili mshambuliaji wa Ruvu Shooting, Elias Maguli pamoja na kuwasili kwa kiungo Mrundi Pierre Kwizera (23) jana mchana.

 

9 years ago

Mwananchi

Maguli ajivunia kucheza na Samatta

Kinara wa ufungaji katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Elius Maguli amesema ushirikiano wake na Mbwana Samatta utaifanya Taifa Stars iwe na safu tishio ya ushambuliaji Afrika.

 

9 years ago

Habarileo

Maguli aitolea nje Simba SC

MSHAMBULIAJI Elias Maguli amesema kwamba anaweza kujiunga na timu yoyote, lakini si Simba. Alisema kuwa hataki kabisa kurejea Simba na zaidi anafikiria kwenda kucheza soka nje ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha awafagilia Uhuru, Maguli

Kocha wa Zesco United ya Zambia, George Lwandamina ameichambua Simba akisema muunganiko wa winga Uhuru Selemani na mshambuliaji Elius Maguli ni hatari zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani