Maguli aitolea nje Simba SC
MSHAMBULIAJI Elias Maguli amesema kwamba anaweza kujiunga na timu yoyote, lakini si Simba. Alisema kuwa hataki kabisa kurejea Simba na zaidi anafikiria kwenda kucheza soka nje ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Maguli, Kwizera Simba hapatoshi
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Maguli: Nimefarijika kuachana na Simba
LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Simba, Maguli na sizitaki mbichi hizi
9 years ago
StarTV20 Aug
Maguli asema Nimefarijika kuachana na Simba
Ikiwa dirisha la usajili linatarajia kufungwa leo kwa klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza, bado matatizo kama hayo yameendelea kujitokeza licha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutoa onyo kwa klabu zenye mtindo huo.
Hivi karibuni kulizuka suala la mshambuliaji wa Simba,...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Maguli ataka Sh50 mil kurudi Simba
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Kinana aitolea uvivu Serikali ya CCM
11 years ago
Mwananchi12 Jul
USAJILI SIMBA: Cassilas ndani, Mkenya nje
10 years ago
Mtanzania07 Mar
Yanga, Simba wapigana vijembe nje ya uwanja
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam leo wakitokea Zanzibar, huku watani zao Yanga wakitamba kufanya maaja bundani ya dakika 45 za mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaochezwa kesho katika Uwanja waTaifa.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, amesema kuwa kikosi chao kipo kamili kwa ajili ya mpambano huo na kudai kocha wao, Hans van Pluijm, amemaliza kazi ya kukiandaa kikosi hicho kumenyana na Simba.
“Kocha amemaliza...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Pigo Simba, Mkude nje wiki sita