Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maguli ataka Sh50 mil kurudi Simba

Mshambuliaji wa Stand United na kinara wa mabao katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Elius Maguli ameitaka Simba kumpa dau la Sh50 milioni ili kumwaga wino wa kuichezea klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

African Sports yasaka Sh50 mil

Wakati michuano ya soka ya mabingwa wa mikoa ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10, klabu ya African Sports, ambayo ni bingwa wa Mkoa wa Tanga, inasaka zaidi ya Sh50 milioni kufanikisha ushiriki wake.

 

9 years ago

Raia Mwema

Maguli: Nimefarijika kuachana na Simba

LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Maguli, Kwizera Simba hapatoshi

>Safu ya ushambuliaji ya Simba imeimarika baada ya kumsajili mshambuliaji wa Ruvu Shooting, Elias Maguli pamoja na kuwasili kwa kiungo Mrundi Pierre Kwizera (23) jana mchana.

 

9 years ago

Habarileo

Maguli aitolea nje Simba SC

MSHAMBULIAJI Elias Maguli amesema kwamba anaweza kujiunga na timu yoyote, lakini si Simba. Alisema kuwa hataki kabisa kurejea Simba na zaidi anafikiria kwenda kucheza soka nje ya nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Simba, Maguli na sizitaki mbichi hizi

Mshambuliaji wa Stand United, Elius Maguli amesema hata apewe nini hawezi kurejea Simba na mipango yake sasa ni kucheza soka la kulipwa nje ya nchi.

 

9 years ago

StarTV

Maguli asema Nimefarijika kuachana na Simba

LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili kuibua matatizo mbalimbali ya wachezaji ikiwemo madeni au wachezaji kuachwa bila utaratibu.

Ikiwa dirisha la usajili linatarajia kufungwa leo kwa klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza, bado matatizo kama hayo yameendelea kujitokeza licha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutoa onyo kwa klabu zenye mtindo huo.
Hivi karibuni kulizuka suala la mshambuliaji wa Simba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC ataka waliokatishwa masomo kurudi shule

SERIKALI wilayani Nzega, Tabora imewaagiza viongozi wa Idara ya Elimu kuwarudisha madarasani watoto waliokatizwa masomo kwa sababu mbalimbali. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya (DC) ya Nzega, Bituni Msangi alipozungumza...

 

11 years ago

GPL

YANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' (katikati) akipiga shuti wakati timu yake ikicheza na Rhino Rangers uwanja wa Taifa jana. Mechi za Ligi Kuu ya Vodacom zilizohusisha timu za Simba na Yanga na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wikiendi zimeingiza jumla ya sh. 139,850,000. Mrisho Ngassa wa Yanga (kushoto) akipiga mpira huku akizongwa na mchezaji wa Ashanti katika mechi yao uwanja wa Taifa juzi. Yanga… ...

 

11 years ago

GPL

Logarusic amzuia Kapombe kurudi Simba

Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BEKI wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe, amemtaja Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic kuwa sababu mojawapo ya kushindwa kurudi Simba kufanya mazoezi na badala yake kujiunga na Azam.
Kapombe alisajiliwa na AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, lakini alirejea nchini kuichezea timu ya taifa kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe na kuanzia hapo amegoma kurudi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani