Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maguli, Samatta goals not enough

Taifa Stars missed a chance to take a giant lead into the second leg of the 2018 World Cup qualifier after playing out a 2-2 draw against Algeria at the National Stadium yesterday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Maguli ajivunia kucheza na Samatta

Kinara wa ufungaji katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Elius Maguli amesema ushirikiano wake na Mbwana Samatta utaifanya Taifa Stars iwe na safu tishio ya ushambuliaji Afrika.

 

9 years ago

Habarileo

Maguli aitolea nje Simba SC

MSHAMBULIAJI Elias Maguli amesema kwamba anaweza kujiunga na timu yoyote, lakini si Simba. Alisema kuwa hataki kabisa kurejea Simba na zaidi anafikiria kwenda kucheza soka nje ya nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kibadeni ampata pacha wa Maguli

Kocha wa Kilimanjaro Stars, Abdallah Kibadeni ‘King’ amesema baada ya kumkosa Mbwana Samatta amelazimika kutengeneza kombineshini mpya ya safu yake ya ushambuliaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Maguli, Kwizera Simba hapatoshi

>Safu ya ushambuliaji ya Simba imeimarika baada ya kumsajili mshambuliaji wa Ruvu Shooting, Elias Maguli pamoja na kuwasili kwa kiungo Mrundi Pierre Kwizera (23) jana mchana.

 

9 years ago

Raia Mwema

Maguli: Nimefarijika kuachana na Simba

LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha awafagilia Uhuru, Maguli

Kocha wa Zesco United ya Zambia, George Lwandamina ameichambua Simba akisema muunganiko wa winga Uhuru Selemani na mshambuliaji Elius Maguli ni hatari zaidi.

 

9 years ago

StarTV

Maguli asema Nimefarijika kuachana na Simba

LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili kuibua matatizo mbalimbali ya wachezaji ikiwemo madeni au wachezaji kuachwa bila utaratibu.

Ikiwa dirisha la usajili linatarajia kufungwa leo kwa klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza, bado matatizo kama hayo yameendelea kujitokeza licha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutoa onyo kwa klabu zenye mtindo huo.
Hivi karibuni kulizuka suala la mshambuliaji wa Simba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ruvu yawashitaki Maguli, Kani TFF

UONGOZI wa Ruvu Shooting ya mkoani Pwani, umesikitishwa na kitendo cha nyota wake wawili kutoroka kambini na kutimkia Oman, na umeandika barua kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuarifu juu...

 

9 years ago

Mwananchi

Maguli, Bocco waibeba Kili Stars

anzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ ikianza na wachezaji wanne waliocheza dhidi ya Algeria ilihamishia hasira zake kwa Somalia na kuichapa mabao 4-0 katika mchezo wa kwanza wa mashindano ya Kombe la Chalenji yanayoendelea nchini Ethiopia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani