Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Julio kumjaribu Kibadeni leo

Ni vita kali baina ya makocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ dhidi ya Abdallah Kibaden ‘King’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

LOGARUSIC: Kocha mwenye kibarua cha kutafuna mfupa uliowashinda Kibadeni, Julio

TIMU ya Simba yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, kwa sasa iko chini ya Kocha mpya Zdravco Logarusic, raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa miezi...

 

10 years ago

Mwananchi

Julio, Tegete mikononi mwa maafande leo

Makocha maarufu wa soka nchini Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ na John Tegete leo watakua na vibarua vizito watakapokwaana na timu Kanembwa JKT na Polisi Dodoma FC, katika mechi za raundi ya sita ya Kundi B la michuano hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni aitisha Ethiopia

KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni amesema kikosi chake kipo imara na wamejipanga kuendeleza ushindi katika mchezo wa mwisho dhidi ya Ethiopia.

 

11 years ago

Mwananchi

Kibadeni amfunika Logarusic

Kocha Mkuu wa Simba,  Zdavko Logarusic ‘Loga’  ametimiza mechi 10 za Ligi Kuu Bara akiwa amekusanya pointi 12  lakini amezidiwa na Abdalah Kibadeni, ambaye aliinoa na timu  hiyo kwenye mzunguko wa kwanza kwani alikusanya pointi 20 katika idadi hiyo ya mechi.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni kocha Kili Stars

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.

 

9 years ago

TheCitizen

Kibadeni upbeat on Challenge Cup

Tanzania Mainland national soccer team coach Abdallah Kibadeni is optimistic that kilimanjaro Stars wil shine in the Senior East and Central Africa Challenge Cup which kicks off on November 21 in Ethiopia.

 

11 years ago

Mwananchi

Kibadeni ajichanganya ushiriki wa Mapinduzi

>Kocha wa Ashanti United, Abdallah Kibadeni  ‘King’  amesema michuano ya Mapinduzi inayoendelea  visiwani hapa imemvurugia ratiba yake.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni atangaza Kili Stars

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.

 

9 years ago

Habarileo

Mwaikimba amtabiria neema Kibadeni

MSHAMBULIAJI wa JKT Ruvu, Gaudence Mwaikimba, amesema mabadiliko ya benchi la ufundi yaliyofanywa na uongozi wa timu hiyo yatabadilisha mwenendo mbaya walioanza nao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani