SIMBA YAPIGWA FAINI YA MILIONI 3/- KWA KUTOVAA JEZI ZENYE NEMBO YA MDHAMINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1oWjzMXbc2I/VM4aNm6nLNI/AAAAAAAHAqI/g2NPctYtV90/s72-c/DSC00253.jpg)
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipiga klabu ya Simba faini ya sh. milioni tatu kutokana na timu yake kuvaa jezi ambazo hazikuwa na nembo ya mdhamini wa Ligi Kuu, kampuni ya Vodacom wakati wa mechi yao dhidi ya Kagera Sugar.
Mechi hiyo namba 50 ya Ligi Kuu ya Vodacom ilichezwa Desemba 26 mwaka jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 13(7) ya Ligi Kuu inayotaka klabu kuheshimu masharti ya udhamini wa Ligi Kuu kwenye mechi zake.
Nayo Polisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Tigo yapigwa faini kwa uzembe
Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez
Na mwandishi Wetu
KAMPUNI ya MIC Tanzania Limited (Tigo) chini ya mkurugenzi wake, Diego Gutierrez imepigwa faini ya Sh. Milioni 25 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kosa la kushindwa kudhibiti utumaji wa ujumbe wa ulaghai na udanganyifu kwa wateja wake.
Taarifa ya faini hiyo ilitolewa hivi karibuni jijini Dar na Mkurugenzi wa TCRA, Dk. Ally Simba ambapo alisema kampuni hiyo na makampuni mengine ya simu, yameshindwa kudhibiti utumaji wa...
10 years ago
Bongo513 Dec
Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Twitter yapigwa faini na serikali Uturuki
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Makampuni ya Simu za Mkononi Yapigwa Faini ya Sh. Mil 25
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na makampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Airtel, Halotel na Zantel na Smart kwa kuto kukidhi vigezo. Pia amesema kuwa Makampuni hayo yamepigwa faini ya shilingi milioni 25 kwa mamlaka ya mawasiliano Tanzania kabla ya Januari 29 mwakani.
Mwanasheria wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Elizabeth Zagi akifafanua jambo mbele ya waandishi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWPRztTbChcTq5lCdQzj1hXKOvTpdIt-5EF0jdY2Y9s-n2pWe3kW9BcDPwuLIg*NolUO6KWPtzEq3htHVp7AD2EG/SHAFII.jpg?width=650)
WINGA Mbeya City aitaka jezi ya Simba kwa Sh 45m
11 years ago
MichuziPOLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwjUyaEScrY/Ux2DlBq6VaI/AAAAAAAA0Rg/qUnegDdlwak/s1600/01.MSD5.jpg)
11 years ago
GPLSIMBA YALIMWA FAINI KWA KUENDEKEZA VITENDO VYA KUSHIRIKINA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4iGaxqd06EQ/VPx2jsnrWbI/AAAAAAAHIsg/3Osl20m5li4/s72-c/MMGL0506.jpg)
YANGA YAENDELEZA UTEJA KWA SIMBA,YAPIGWA KIKOJA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-4iGaxqd06EQ/VPx2jsnrWbI/AAAAAAAHIsg/3Osl20m5li4/s1600/MMGL0506.jpg)
Umati wa Washabiki wa Timu ya Simba ukiwa umefurika uwanja wa Taifa jijin Dar es salaam kuipa sapoti timu yao ambayo haikuwaangusha leo,baada ya kuwatandika bao 1 - 0 watani zao wa jadi Yanga,lililotiwa kimiani kwa umaridadi mkubwa na Mshambuliaji,Emmanuel Okwi mnamo dakika ya 52 ya mchezo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8caZsyog850/VPx2KFugA2I/AAAAAAAHIp0/pUZzaNTrEso/s1600/MMGL0169.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s72-c/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
TBL YATOA JEZI KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA DMV AUG 29, 2015 UWANJA WA KAPETI HYATTSVILLE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s640/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
Siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 kwa mara ya kwanza DMV itafanyika pambano kabambe la Simba na Yanga katika uwanja wa Heurich turf field uliopo Hyattsville, Maryland nyuma ya Home Depot anuani ni 6001 Ager Rd, Hyattsville, MD 20781, Mpambano huo ni kwa wachezaji wa DMV tu