Nakala za Katiba zinavyogeuka lulu mikoa ya Lindi, Mtwara
Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuahirisha Kura ya Maoni kwa ajili ya Katiba Inayopendekezwa iliyopangwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu, wadau mbalimbali walitoa maoni wakitaka fursa hiyo itumike kwa ajili ya kuzigawa nakala za katiba hiyo na kuzisambaza maeneo mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Kinana kuanza ziara ya mikoa ya Mtwara na Lindi
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti,CCM Ofisi ndogo Lumumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajia kufanya ziara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Sekretarieti,Lumumba jijini Dar es salaam Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye alisema kuwa Ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xq8VwENi8DA/VRMBILWwSHI/AAAAAAAHNPQ/xVAzGYL-tDI/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAWAFUNDA WAANDISHI WA HABARI WA MIKOA YA LINDI NA MTWARA
Akifungua mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa utaratibu wa Kikao Kazi Mkurugenzi Mtendajiwa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga amesema kazi ya kutokomeza umaskini nchini inahitaji ushiriki wa wadau mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari.
Bwana Mwamanga amesema tangu TASAF...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 16 MIKOA YA LINDI NA MTWARA, KESHO NOV 15
![](http://1.bp.blogspot.com/-kc0Mtq8EDEw/VGYegpmgmfI/AAAAAAAGxOY/pPN6Tdk5qyA/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Ziara hii ya Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahaman Kinana ni muendelezo wa...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Lowassa kama “Lulu” Tanga, Mtwara na Lindi nako usipime
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono mamia ya wana CCM na wananchi wa Manispaa ya Lindi, waliojitokeza kwenye ofisi za chama mkoani humo Juni 17, 2015. . Mheshimiwa Lowassa ambaye amechukua fomu kuomba chama kimteue kuwani urais wa Tanzania Oktoba 25, 2015, alijizolea wana CCM 3,279.
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa, akisalimiana Mwana CCM huyu aliyejitokeza kumdhamini kwenye ofisi za CCM wilaya ya Mtwara...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Membe apata wadhamini zaidi ya 800 katika mikoa ya Lindi na Mtwara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.(Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WeP-DtNmfh0/Vd9YeVEa-LI/AAAAAAAH0es/dus_6AqaykQ/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
mpango wa kugawia wanafunzi vyandarua bure waanza mikoa la lindi, mtwara na ruvuma
![](http://1.bp.blogspot.com/-WeP-DtNmfh0/Vd9YeVEa-LI/AAAAAAAH0es/dus_6AqaykQ/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4FxAqxAJdAk/Vd9YeZw12QI/AAAAAAAH0e0/YqiDZmLe2UQ/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ylaJOeouMkg/Vd9YediM7SI/AAAAAAAH0ew/efIu4oQP8Kg/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)