Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa kama “Lulu” Tanga, Mtwara na Lindi nako usipime

Lowassa_Lindi8

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono mamia ya wana CCM na wananchi wa Manispaa ya Lindi, waliojitokeza kwenye ofisi za chama mkoani humo Juni 17, 2015. . Mheshimiwa Lowassa ambaye amechukua fomu kuomba chama kimteue kuwani urais wa Tanzania Oktoba 25, 2015, alijizolea wana CCM 3,279.

CCM_Lindi

Lowassa_Mwana CCM mtwara

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa, akisalimiana Mwana CCM huyu aliyejitokeza kumdhamini  kwenye ofisi za CCM wilaya ya Mtwara...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba zinavyogeuka lulu mikoa ya Lindi, Mtwara

Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuahirisha Kura ya Maoni kwa ajili ya Katiba Inayopendekezwa iliyopangwa kufanyika Aprili 30 mwaka huu, wadau mbalimbali walitoa maoni wakitaka fursa hiyo itumike kwa ajili ya kuzigawa nakala za katiba hiyo na kuzisambaza maeneo mbalimbali nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA

Mmoja wa wana CCM waliomdhamini Mh. Lowassa, mkoani Mtwara, akimuombea dua" Ni furaha tupu", mama huyu wa mkoani Mtwara, akiwa na furaha wakati akisalimiana na Mh. LowassaMh. Lowassa, akisalimiana na mzee huyu wa mkoani MtwaraMh. Lowassa, (mwenye nywele nyeupe juu kulia), akitoa shukrani zake kwa wana CCM na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Lindi, waliofurika kwenye ofisi za ccm mkoani humo, alkipofika kuomba wana CCM wa kumdhamini. Mkoani Lindi alipata udhamini wa wana CCM 3, 279Umati wa watu...

 

11 years ago

Michuzi

Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.

 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona  ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA ‘NANI KAMA MAMA’ YA BELLA USIPIME

Mashabiki wakimtunza Bella baada ya kuwakuna. Bella na Banana wakikamua. Matonya akitoa sapoti kwa vibao vyake kikiwemo cha 'Vailet'.…

 

10 years ago

GPL

MAPENZI YA WOLPER KWA LOWASSA USIPIME!

Mwandishi wetu MAPENZI! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’, amezidi kujipambanua mapenzi yake kwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kwa kusema; “nampenda Lowassa hadi naumwa.”  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/CsolWB

 

11 years ago

IPPmedia

NIDA: Lindi, Mtwara next in registration


NIDA: Lindi, Mtwara next in registration
IPPmedia
The National Identification Authority (NIDA) is to begin registering residents of Lindi and Mtwara regions after completion of the exercise in Pemba and Unguja Islands which started in February this year. NIDA Head of Communications, Thomas William told ...

 

11 years ago

Habarileo

Mtwara,Lindi kuwa ya kisasa

UCHUMI wa gesi unaotarajiwa kuinua maisha ya Watanzania, umesababisha Rais Jakaya Kikwete kuagiza maandalizi ya haraka ya ujenzi wa majiji ya kisasa katika miji ya Mtwara na Lindi. Akizungumza juzi na Waziri wa Nyumba, Makazi na Maendeleo ya Miji na Vijiji wa China, Jiang Weixin Ikulu, Zanzibar, Rais Kikwete aliomba nchi hiyo kusaidia kupanga miji ya kimkakati ya Mtwara, Lindi na Kigamboni, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa azoa wadhamini 3,000 Geita, Chato nako apata wa kutosha

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,(katikati), akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wengine waliofika kwenye ofisi za CCM wilayani Geita Juni 8, 2015, kwa nia ya kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015; (Picha zote na K-VIS MEDIA)

Wakazi wa wilaya ya Geita, wakiwa juu ya nyumba na juu ya mti (picha ya chini), ili kumuona Waziri Mkuu wa zamani na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani