Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waigizaji vaeni uhalisia

Ni wazi kuwa kila moja wetu anatamani kuburudika bila kujali ni aina gani ya burudani anayotaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanamuziki, ma-DJ mkialikwa harusini vaeni vizuri

MUZIKI una sehemu kubwa katika maisha ya kila siku ya binadamu. Wapo wanaoutumia muziki kama ajira yao kuu inayowawezesha kupata kipato cha kuendesha maisha yao ya kila siku, wapo wanaoutumia...

 

11 years ago

Habarileo

‘Mkishindwa kutekeleza ya viongozi wa dini vaeni kondomu

RAIS Jakaya Kikwete amesema, viongozi wa dini wakiwemo mapadri, maaskofu na mashehe hawawezi kuwaeleza watu watumie kondomu wakati wa kujamiiana, lakini yeye haoni aibu kuwashauri hivyo, kwa kuwa anataka kuokoa maisha ya wananchi ili nyumba za ibada zisikose waumini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!

Mroki-Mporojost

MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.

Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...

 

10 years ago

GPL

MAPENZI SIYO HISIA, NI UHALISIA!

KUNA watu wanaweza kupatwa na mshangao kwa kichwa cha habari hapo juu. Watajikuta wakishangaa kwa sababu siku zote wamekuwa wakielewa kuwa mapenzi ni hisia, kwa sababu yanamwendesha mtu vile anahisi. Leo nataka kuwahakikishia kuwa kamwe, jambo hili siyo hisia, bali ni uhalisia! Inaweza kuwa vigumu kuelewa mara moja maana yangu, lakini kuna mifano rahisi na mifupi ninaweza kukupa ili uelewe maana yangu. Kunywa maji wakati ukiwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukweli, mantiki na uhalisia wa kauli ya Julio

ALIYEKUWA kocha msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wiki iliyopita alipokea leseni ya daraja la pili (Class B) inayotambuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kutokana na ushiriki wake wa...

 

10 years ago

Vijimambo

JUA UHALISIA WA NENO "BLACK FRIDAY " ILIKOTOKEA


It’s totally understandable if you think the term “Black Friday” is a direct linguistic descendent of “in the black,” accounting jargon for turning a profit. After all, the day after Thanksgiving is now one of thebiggest shopping days of the year, an annual delight to retailers hoping to give their bottom lines a nice little boost in the year’s final weeks. Some urban legends even say it originates from the day after Thanksgiving when slave owners sold off some of their slaves – all...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini tuishi kinyume cha uhalisia?

Ni busara kutoa elimu inayokwenda kinyume na kauli za penye miti hakuna wajenzi; polepole ndiyo mwendo; hakuna haraka Afrika; na mfinyanzi hulia kigaeni.

 

9 years ago

Michuzi

Maana ya jina la Dudumizi na uhalisia wake kwenye IT

Neno Dudumizi si geni katika masikio ya watu wengi. Hapa kwetu Tanzania, Dudumizi inamaanisha ni ndege, ndege huyu mwenye rangi ya ugoro na nyeusi akiwa na macho mekundu ni adimu sana hasa kwa watu wanaoishi mijini, hii inaweza kutokana na uchache wake au mazoea ya ndege huyu. Pia, kwa upande wa pili, neno Dudumizi ni kampuni bora inayojishughulisha na masuala ya huduma za IT kama kutengeneza website, kutengeneza systems za kompyuta na application za simu.
Watu wengi wanaposikia jina Dudumizi...

 

10 years ago

Mwananchi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani