Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini tuishi kinyume cha uhalisia?

Ni busara kutoa elimu inayokwenda kinyume na kauli za penye miti hakuna wajenzi; polepole ndiyo mwendo; hakuna haraka Afrika; na mfinyanzi hulia kigaeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WANAOTUMIA VYANDARUA KINYUME CHA UTARATIBU

 Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Abel Busala akitoa salamu za Wilaya wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Mkoa wa Tabora ziro malaria inaanza na mimi.
 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiwaongoza viongozi mbalimbali kuzindua kampeni ya Mkoa wa Tabora ziro malaria inaanza na mimi.Katibu Tawala Mkoa Msalika Makungu akitoa maelezo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa wa Mkoa wa Tabora jana ili azindue kampeni ya Mkoa wa Tabora ziro malaria inaanza na mimi .
 Baadhi ya wakazi wa Kaliua wakiwa katika uzinduzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Raia wa Yemen ahukumiwa kwa kuingia nchini kinyume cha sheria

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Hassan Said Awadh (48), raia wa Yemen kulipa faini ya sh 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kwa makosa mawili ikiwamo kuingia nchini kinyume...

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MTENDAJI TRL ASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MALIPO KINYUME CHA MKATABA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa malipo ya Sh. Bilioni 230 ya mabehewa ya Mizigo yenye kasoro pamoja na kufanya malipo ya mabehewa yote kabla ya kukamilika.
Akitangaza maamuzi hayo ya kusimimishwa kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar es Salaam baada ya ripoti ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi (ambaye sasa ni Waziri wa Afrika Mashariki), Dk. Harrison...

 

10 years ago

Michuzi

SITA MBARONI KWA KUMILIKI SILAHA KINYUME CHA SHERIA, KULIMA BHANGI NA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI MKOANI DODOMA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha matukio hayo kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amewataja watu wanaoshikiliwa...

 

10 years ago

Mwananchi

9 years ago

Habarileo

Ugawaji ardhi kinyume chanzo cha migogoro

UGAWAJI usiozingatia sheria ya ardhi umetajwa kuwa chanzo cha migogoro katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakimiliki ekari 3,000 hadi 5,000.

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...

Na Mwandishi Wetu
WAKATI taifa likiwa katika msiba kufuatia kifo cha Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa, wananchi wameitaka serikali kueleza kwa nini kwa kipindi chote cha kuumwa kwake, ugonjwa uliomuua ulifanywa siri. Marehemu Dk. William Mgimwa. Waziri Mgimwa alifariki dunia Jumatano (juzi) saa 5:20 asubuhi kwa saa za Afrika Kusini (Tanzania saa 6:20) katika Hospitali ya Mediclinic Klooff jijini...

 

9 years ago

GPL

KWA NINI HAWARA ALE CHA MKEO?

Asalam alaikum, bwana Yesu asifiwe. Poleni kwa majukumu ya wikiendi na ni matumani yangu wazima na wale wagonjwa nawaombea dua mtapona ishallah. Nashukuru kwa kunisoma kwani napata ujumbe wenu na naona jinsi mnavyofaidika kwa mada ninazowaletea.
Ukiandika kitu ukaona watu wanakutafuta na kukupa hongera unajivunia kwani unaamini wanakipenda kile unachowaandikia. Leo nimekuja na mada hii ili kuwasema akina baba wenye tabia ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yawasaka wanaoishi nchini kinyume cha sheria

Wizara ya Mambo ya Ndani imeanza operesheni ya kuwasaka raia wa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume cha sheria ili warudishwe makwao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani