Kwa nini tuishi kinyume cha uhalisia?
Ni busara kutoa elimu inayokwenda kinyume na kauli za penye miti hakuna wajenzi; polepole ndiyo mwendo; hakuna haraka Afrika; na mfinyanzi hulia kigaeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WANAOTUMIA VYANDARUA KINYUME CHA UTARATIBU
![](https://1.bp.blogspot.com/-fYcBD79N8RM/Xmdm0z75R5I/AAAAAAALiXI/82pIwgd7hFYI_MAKSUcpnlafoQ6BnYTRQCLcBGAsYHQ/s640/2A.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Raia wa Yemen ahukumiwa kwa kuingia nchini kinyume cha sheria
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu Hassan Said Awadh (48), raia wa Yemen kulipa faini ya sh 300,000 au kwenda jela miaka mitatu kwa makosa mawili ikiwamo kuingia nchini kinyume...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vml-j6I259M/VS-6BLCS6aI/AAAAAAAHRh4/OTiLpYWWqDU/s72-c/unnamedb1.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI TRL ASIMAMISHWA KAZI KWA TUHUMA ZA MALIPO KINYUME CHA MKATABA
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa malipo ya Sh. Bilioni 230 ya mabehewa ya Mizigo yenye kasoro pamoja na kufanya malipo ya mabehewa yote kabla ya kukamilika.
Akitangaza maamuzi hayo ya kusimimishwa kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar es Salaam baada ya ripoti ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Uchukuzi (ambaye sasa ni Waziri wa Afrika Mashariki), Dk. Harrison...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XC_vQ8G9wjM/VQ_jXOLq5-I/AAAAAAAHMWY/3efrdar_WNQ/s72-c/Bhangi%2Bikiteketezwa%2Bbaada%2Bya%2Bkukamatwa%2Bkatika%2Bshamba%2Bla%2Bmahindi..jpg)
SITA MBARONI KWA KUMILIKI SILAHA KINYUME CHA SHERIA, KULIMA BHANGI NA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha matukio hayo kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amewataja watu wanaoshikiliwa...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
9 years ago
Habarileo23 Dec
Ugawaji ardhi kinyume chanzo cha migogoro
UGAWAJI usiozingatia sheria ya ardhi umetajwa kuwa chanzo cha migogoro katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakimiliki ekari 3,000 hadi 5,000.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7p-J*XN4NvpqVJ2DDdmy4dj*BLu2bPiJq*TMtpQQQicWXaYWmsHgpDhlcIdgY-vbtYSPUfSBFSa60EFS45fagMb/mgimwa.jpg?width=650)
KIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVFm4NfDFHjTdadEgxd8*ZtkgAXWNw7iHPiI8SOxUUa*HBbWlDDSjGoNF3HMVC79xkuxXdLiIsJbdTeDCNz7RJf/bcouplesmile.jpg?width=650)
KWA NINI HAWARA ALE CHA MKEO?
9 years ago
Mwananchi07 Jan
Serikali yawasaka wanaoishi nchini kinyume cha sheria