Ugawaji ardhi kinyume chanzo cha migogoro
UGAWAJI usiozingatia sheria ya ardhi umetajwa kuwa chanzo cha migogoro katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakimiliki ekari 3,000 hadi 5,000.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Wanasiasa chanzo cha migogoro ya ardhi
WANASIASA wamebainika kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi inayotokea nchini na kusababisha vifo huku wengine wakibaki na ulemavu kama inavyojitokeza katika mgogoro wa Kiteto, mkoani Manyara. Mbali na hilo, serikali...
9 years ago
Habarileo29 Dec
Chanzo cha migogoro ya ardhi Kilwa chaelezwa
KUKOSA uelewa juu ya Sheria ya Ardhi kwa jamii katika vijiji vya Kiranjeranje na Mandawa wilayani hapa, kumetajwa kusababisha migogoro ya mara kwa mara ya ardhi katika maeneo hayo.
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Migogoro, vurugu chanzo cha unyanyasaji wanawake
IMEFIKA wakati Tanzania kupitia Bunge kuridhia Azimio la Umoja wa Mataifa namba 1325 (UN Resolution 1325) ili kukomesha vitendo vya kikatili na unyanyasaji wa kijinsia wanavyotendewa wananchi wasiokuwa na hatia,...
10 years ago
Mtanzania25 Feb
Shilole ataja chanzo cha migogoro na Nuh
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migogoro yake na mumewe mtarajiwa, Nuh Mziwanda kuwa ni marafiki.
Shilole alidai kuwa mara nyingi wamekuwa wakigombana, lakini chanzo kikiwa ni maneno ya uchonganishi kutoka kwa marafiki zao wa karibu ambao wana lengo la kuwatenganisha.
Mwanadada huyo alidai kutokana na hali hiyo, hivi sasa ameamua kutowahusisha suala lolote linalohusu maisha yake ili...
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Shilole Ataja Chanzo cha Migogoro na Nuh Mziwanda
Mwanamziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migogoro yake na mumewe mtarajiwa, Nuh Mziwanda kuwa ni marafiki.
Shilole alidai kuwa mara nyingi wamekuwa wakigombana, lakini chanzo kikiwa ni maneno ya uchonganishi kutoka kwa marafiki zao wa karibu ambao wana lengo la kuwatenganisha.
Mwanadada huyo alidai kutokana na hali hiyo, hivi sasa ameamua kutowahusisha suala lolote linalohusu maisha yake ili kupunguza migogoro ya mara kwa mara...
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Umoja wa Mataifa wataka chanzo cha siasa kali zinazoletea migogoro zichunguzwe
Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh. Seif Rashid akiwasili kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kuhudhuria maadhimisho hayo na kupokelewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Joseph Masasi (wa pili kulia), Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Bw. Dunford Makala (katikati) na Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania , Bw. Ali Rajab (kulia) pamoja na viongozi wengine taasisi ya watu wenye ulemavu wa...
10 years ago
Michuzi22 Sep
UMOJA WA MATAIFA WATAKA CHANZO CHA SIASA KALI ZINAZOLETEA MIGOGORO KICHUNGUZWE
![DSC_0593](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_05931.jpg)
![DSC_0415](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0415.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0007.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WATAKA CHANZO CHA SIASA KALI ZINAZOLETEA MIGOGORO ZICHUNGUZWE
10 years ago
Habarileo03 Feb
Kamati ya Bunge yaeleza kiini cha migogoro ya ardhi
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema ni vijiji 1,000 tu kati ya 11,000 vilivyopo nchini ndivyo vyenye mpango wa matumizi bora ya ardhi jambo linalosababisha kuwapo kwa migogoro ya ardhi.