RC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WANAOTUMIA VYANDARUA KINYUME CHA UTARATIBU
Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Abel Busala akitoa salamu za Wilaya wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Mkoa wa Tabora ziro malaria inaanza na mimi.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiwaongoza viongozi mbalimbali kuzindua kampeni ya Mkoa wa Tabora ziro malaria inaanza na mimi.
Katibu Tawala Mkoa Msalika Makungu akitoa maelezo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa wa Mkoa wa Tabora jana ili azindue kampeni ya Mkoa wa Tabora ziro malaria inaanza na mimi .
Baadhi ya wakazi wa Kaliua wakiwa katika uzinduzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Sep
NHIF YAKAMATA WATU WANAOTUMIA KADI ZA BIMA YA AFYA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA HOSPITALI YA REGENCY
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/124.jpg)
Mtu huyo alikamatwa jana katika hospitali hiyo wakati akitaka kufanya vipimo vya (CityScan), ndipo mmoja wa wafanyakazi wa hospitali hiyo alipogundua na kupiga simu makao...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/124.jpg?width=650)
NHIF YAKAMATA WATU WANAOTUMIA KADI ZA BIMA YA AFYA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA HOSPITALI YA REGENCY
9 years ago
MichuziWAGENI WOTE WANAOISHI NCHINI NA KUFANYA KAZI KINYUME CHA SHERIA KUKAMATWA - MASAUNI
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Wageni wote wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume cha sheria kukamatwa – Masauni
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni, wakati wa mkutano wa kuzungumzia hatua zinazochukuliwa na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s72-c/2%2B%25282%2529.jpg)
RC KAGERA AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI WATUMISHI WANNE NA WATENDAJI WENGINE 30 KUKAMATWA WILAYANI BIHARAMULO KWA UBADHILIFU WA SH. MILIO 307.
![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25282%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Biharamulo.
Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaagiza Kamanda wa Polisi na Kamanda wa TAKUKURU mkoani Kagera kuwakamata watumishi 34 katika Halmashauri ya wilaya Biharamulo wakiwemo watendaji wa vijiji...
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
11 years ago
Habarileo15 Jun
DC aagiza kukamatwa waganga wa jadi wanaosaidia wajawazito
MKUU wa Wilaya Kibondo, Venance Mwamotto ametoa agizo kukamatwa kwa waganga wa kienyeji wanaowapa wajawazito dawa za kuwasaidia kujifungua.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Kwa nini tuishi kinyume cha uhalisia?
11 years ago
Michuzi12 Feb
IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.
na Mbeya yetu.---------------------------- IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisinin kwake Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya...