Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukweli, mantiki na uhalisia wa kauli ya Julio

ALIYEKUWA kocha msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ wiki iliyopita alipokea leseni ya daraja la pili (Class B) inayotambuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kutokana na ushiriki wake wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DUU! JULIO ATOA KAULI NZITO

Aliyekuwa kocha wa Simba,Jamhuli Kihwelo 'Julio'. Na Shakoor Jongo
ALIYEKUWA Kocha wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye sasa ni kocha wa Mwadui ya Shinyanga, amevunja ukimya na kufungukia juu ya madai ya kuhusishwa na mapenzi ya jinsi moja ‘ushoga’.
Julio alizungumza hilo hadharani wakati alipohudhuria hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengele...

 

9 years ago

MillardAyo

Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …

Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea  Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo,  Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]

The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Ubunifu usiozingatia mantiki ya Kiswahili

Sina budi kuwashukuru wasomaji wangu kwa kuniletea maoni na mapendekezo kuhusu makosa ninayogundua katika uandishi wa makala kwenye magazeti.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanasiasa mkongwe haoni mantiki ‘vurugu’ bungeni

MWANASIASA wa siku nyingi hapa nchini, Pancras Ndejembi amesema haoni mantiki ya wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususa vikao vya bunge la katiba na kutaka kukimbilia kwa wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni kweli hakuna mantiki ya kubadili jina la Taifa Stars

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), chini ya Rais wake Jamal Malinzi aliyeingia madarakani Oktoba 29, 2013, limekuwa katika harakati kadha wa kadha kuhakikisha mchezo huo unapiga hatua mbele. Kwa lengo...

 

10 years ago

Mwananchi

Waigizaji vaeni uhalisia

Ni wazi kuwa kila moja wetu anatamani kuburudika bila kujali ni aina gani ya burudani anayotaka.

 

10 years ago

GPL

MAPENZI SIYO HISIA, NI UHALISIA!

KUNA watu wanaweza kupatwa na mshangao kwa kichwa cha habari hapo juu. Watajikuta wakishangaa kwa sababu siku zote wamekuwa wakielewa kuwa mapenzi ni hisia, kwa sababu yanamwendesha mtu vile anahisi. Leo nataka kuwahakikishia kuwa kamwe, jambo hili siyo hisia, bali ni uhalisia! Inaweza kuwa vigumu kuelewa mara moja maana yangu, lakini kuna mifano rahisi na mifupi ninaweza kukupa ili uelewe maana yangu. Kunywa maji wakati ukiwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

JUA UHALISIA WA NENO "BLACK FRIDAY " ILIKOTOKEA


It’s totally understandable if you think the term “Black Friday” is a direct linguistic descendent of “in the black,” accounting jargon for turning a profit. After all, the day after Thanksgiving is now one of thebiggest shopping days of the year, an annual delight to retailers hoping to give their bottom lines a nice little boost in the year’s final weeks. Some urban legends even say it originates from the day after Thanksgiving when slave owners sold off some of their slaves – all...

 

9 years ago

Michuzi

Maana ya jina la Dudumizi na uhalisia wake kwenye IT

Neno Dudumizi si geni katika masikio ya watu wengi. Hapa kwetu Tanzania, Dudumizi inamaanisha ni ndege, ndege huyu mwenye rangi ya ugoro na nyeusi akiwa na macho mekundu ni adimu sana hasa kwa watu wanaoishi mijini, hii inaweza kutokana na uchache wake au mazoea ya ndege huyu. Pia, kwa upande wa pili, neno Dudumizi ni kampuni bora inayojishughulisha na masuala ya huduma za IT kama kutengeneza website, kutengeneza systems za kompyuta na application za simu.
Watu wengi wanaposikia jina Dudumizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani