Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia miiko na maadili
NA KHADIJA MUSSA
MWENYEKITI wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Dk. Stephen Bwana, amewataka watumishi wa umma kujiepusha na ushabiki wa siasa za mpito, badala yake wazingatie katiba, miiko na maadili ya utumishi wa umma.
Alisema kuna upungufu katika uzingatiaji wa maadili, hivyo aliwataka watumishi hao kubadilika na kutojihusisha na ushabiki wa siasa, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu kwani hakuna nchi duniani, ambayo watumishi wake hawazingatii maadili.
Pia aliahidi...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K-WRxy3gYEA/U5rESXxe5oI/AAAAAAAFqUU/yt5xYL2Wfgo/s72-c/unnamed.jpg)
Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X6iD_Sa0owQ/VoKGbqgXfKI/AAAAAAAIPM8/PSTaaCII4r0/s72-c/793bd368-6a29-4f0e-b301-86bfa6cb4fe8.jpg)
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira watakiwa kuzingatia Maadili
![](http://4.bp.blogspot.com/-X6iD_Sa0owQ/VoKGbqgXfKI/AAAAAAAIPM8/PSTaaCII4r0/s640/793bd368-6a29-4f0e-b301-86bfa6cb4fe8.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira nchini watakiwa kuzingatia Maadili!!
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki akipata maelezo kutoka kwa watendaji wa Sekretarieti ya ajira (hawapo pichani) alipofanya ziara katika ofisi hiyo, mapema leo Desemba 29.
Na Kassim Nyaki, Afisa Mawasiliano Sekretarieti ya Ajira
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao, kwa kuwa kazi wanayoifanya ni nyeti na inagusa maisha ya watu ambayo itahitaji watu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5Ci5pngqRg8/U9t0F0cU67I/AAAAAAAF8OM/jzKRXrAFz68/s72-c/pic+no.+1.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUZINGATIA KANUNI ZA MAADILI YA UTENDAJI KAZI ILI KUJENGA UTAWALA BORA.
Rai hiyo imetolewa na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Salome Kaganda wakati akizindua filamu ya “The Minister” iliyoandaliwa na Kampuni ya Equity Links Enterprises (ELE) katika ukumbi wa CENTURY CINEMAX THEATRE Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Kaganda alifafanua kuwa katika utumishi wa umma kuna Kanuni za Maadili ya utendaji ...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Watumishi wa mahakama watakiwa kuzingatia haki
MAHAKIMU na watumishi wa Mahakama katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara wamehimizwa kuzingatia maadili na weledi katika kazi ili kurejesha imani kwa wananchi kuwa mahakama ipo pale kutafasiri sheria na kutoa haki kwa watu wote.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-adhEOIbnRqI/ViSbOiqK5GI/AAAAAAAAE3I/AIgP2QYW1LE/s72-c/A.jpg)
WAHITIMU ADILI HIGH SCHOOL WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-adhEOIbnRqI/ViSbOiqK5GI/AAAAAAAAE3I/AIgP2QYW1LE/s640/A.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C7vVWeiHX-I/ViSbfrDCtNI/AAAAAAAAE3Q/SREdVO70x_I/s640/B.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Uhuru NewspaperNgeleja mbele ya Baraza la Maadili ya Watumishi wa Umma...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Watumishi wa Mungu watakiwa kuishi kwa maadili
WATUMISHI wa Mungu wametakiwa kuzingatia maadili katika maisha yao kwa kuishi kwa tabia njema ili waweze kushiriki kazi ya kulea na kuwalisha wanadamu maneno ya kiroho. Kauli hiyo ilitolewa na...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Waandishi watakiwa kufahamu maadili ya umma
WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kufahamu maadili ya utumishi wa umma na sera za afya ili watoe taarifa zisizo na ukinzani baina ya sekta hiyo na jamii. Akizungumza jana na...