Harakati za kumpata rais mwanamke zaanza
HARAKATI za kupata rais mwanamke zimeanza baada ya ulingo wa wanawake kutangaza kufanya ushawishi kwenye vyama vyote vya siasa wanawake wenye uwezo wapewe nafasi kugombea.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mimute na harakati za kumkomboa mwanamke kiuchumi
VITENDO vya unyanyasaji, ukatili dhidi ya wanawake ni matokeo ya mila gandamizi ambazo ni kikwazo katika ukombozi wa wanawake kiuchumi,mkijamii na kisiasa. Wanawake wengi hasa waishio vijijini, wamekua wakipigwa ovyo,...
9 years ago
Mwananchi11 Oct
MWAJEMI KALUFYA : Alianza harakati za ukombozi wa mwanamke 1969
9 years ago
MichuziWaraghbishi wa kijiji cha Nyandekwa na Harakati za Kumkomboa Mwanamke
9 years ago
GPLWATANZANIA MUWE MAKINI KATIKA KUMPATA RAIS AJAYE
10 years ago
Bongo Movies10 Jul
Ray: Napata Wasiwasi Kama Tunaweza Kumpata Rais Kama Kikwete
Napata kigugumizi na mgagasuko mkubwa sana ndani ya kilindi cha moyo wangu, kama tutaweza kumpata Rais atakaye tuthamini kama wewe baba yetu, Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa na hao watakaokupokea kijiti chako, nimeilewa sana hotuba yako siku ya leo (jana) hasa pale uliposema Bongo Fleva na Bongo Movie wameitangaza sana nchi yako ya Tanzania kimataifa na kusahau hata yale machungu unayoyapataga kwenye soka tutakukumbuka sana rais wetu
Vicent Kigosi “Ray”...
10 years ago
Habarileo10 Jun
‘Tanzania inahitaji rais mwanamke’
MGOMBEA Urais wa Tanzania ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Amina Salum Ali amesema wanawake hawana sifa ya ufisadi na ufujaji wa mali za umma na kwamba Tanzania inahitaji Rais Mwanamke.
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Kwa nini rais ajaye awe mwanamke
9 years ago
Bongo516 Oct
T.I. aomba radhi baada ya kusema mwanamke hawezi kuwa rais wa Marekani!
11 years ago
GPLMWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR