WANANCHI WAASWA KUKUZA KISWAHILI
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Kitengo cha Lugha Hajaty Shani Kitogo akizindua vitabu viwili vya Kuzaliwa kwa Msafiri na Hadithi za Watoto ambavyo vimetayarishwa na Kituo cha Utamaduni cha India.Hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam
Balozi wa India nchini Debnath Shaw kushoto akimkabidhi vitabu mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho Sabrina Komba mara baada ya uzinduzi wa vitabu hivyo ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Ushirikiano kukuza Kiswahili muhimu
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Harakati za Waingereza kukuza Kiswahili
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Ukosefu wa uzalendo, utashi wa kisiasa katika kukuza Kiswahili
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dct9gcEa4ZA/XlKWhx8V0EI/AAAAAAAA91I/A-IaaVg3m7kXR2x43wD399gVcCwhUMmggCLcBGAsYHQ/s72-c/UNESCO1.jpg)
UNESCO YATAMBUA KISWAHILI KAMA LUGHA ITAKAYOSAIDIA KUKUZA UTANGAMANO BARANI AFRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dct9gcEa4ZA/XlKWhx8V0EI/AAAAAAAA91I/A-IaaVg3m7kXR2x43wD399gVcCwhUMmggCLcBGAsYHQ/s640/UNESCO1.jpg)
Mhe. Balozi Shelukindo (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya Wajumbe kutoka UNESCO wakiangalia machapisho mbalimbali ya Lugha ya Kiswahili yaliyoandaliwa na Ubalozi baada ya kushiriki mjadala kuhusu Lugha ya Kiswahili ulioandaliwa na Ubalozi kwa kushirikiana na UNESCO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mZkd1S-7aQg/XlKWXCF0TLI/AAAAAAAA908/jkKWfkGYsjIVSXXDema_YNBxmj7pKeyHACLcBGAsYHQ/s640/UNESCO3.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu katika UNESCO, Mhe. Samwel Shelukindo akizungumza kwenye Mjadala kuhusu "Fursa na Changamoto za Kukitambua Kiswahili kama Lugha rasmi ya Bara la Afrika kwa ajili...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s72-c/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
SHULE ZA MOSHI MJINI MJADALA WA KUKUZA NA KUDUMISHA KISWAHILI NA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU, MGENI RASMI KIJANA DAUDI MRINDOKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rkjSVPXYq-8/VUlOGIpbvTI/AAAAAAADmFQ/lCAO7kgKskw/s1600/Baadhi%2Bya%2Bwalimu%2Bna%2Bwanafunzi%2Bwa%2Bshule%2Bza%2BMoshi%2Bmjini%2Bkatika%2Bmdahalo.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tTckxNqIHPc/XmuB066dEPI/AAAAAAALi6g/YxuK8K21S6Qc9XYx2_IoO0r-dQvKRiBlgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
WAZILI RUKUVI ATAKA WANANCHI WAMILIKISHWE ARDHI KUKUZA KIPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-tTckxNqIHPc/XmuB066dEPI/AAAAAAALi6g/YxuK8K21S6Qc9XYx2_IoO0r-dQvKRiBlgCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Wakurugenzi wa Almashauri zote za Wilaya pamoja na Manispaa Mkoani Shinyanga kuharakisha upimaji ardhi na utoaji hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi ikiwemo mipango miji ili kuongeza mapato ya Serikali na kuepukana na ujenzi holela mkoani humo.
Waziri Lukuvi amesema hayo Mkoani Shinyanga alipofika Mkoani humo kwa lengo la kujionea ofisi mpya zitakazotumiwa na Msajili wa Ardhi pamoja na Kamishina wa Ardhi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--KyN4bFNRoE/VLt1L6JZgjI/AAAAAAAG-FA/pR_Q87pi1A0/s72-c/CBE%2B-%2B1.jpg)
WANANCHI MKURANGA WAASWA KUCHANGIA DAMU
![](http://4.bp.blogspot.com/--KyN4bFNRoE/VLt1L6JZgjI/AAAAAAAG-FA/pR_Q87pi1A0/s1600/CBE%2B-%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UzYd0vCN098/VLt1LzW7VEI/AAAAAAAG-FE/jKMEudR2VWE/s1600/CBE%2B-%2B2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...