Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WAASWA KUKUZA KISWAHILI

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Kitengo cha Lugha Hajaty Shani Kitogo akizindua vitabu viwili vya Kuzaliwa kwa Msafiri na Hadithi za Watoto ambavyo vimetayarishwa na Kituo cha Utamaduni cha India.Hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam Balozi wa India nchini Debnath Shaw kushoto akimkabidhi vitabu mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho Sabrina Komba mara baada ya uzinduzi wa vitabu hivyo ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ushirikiano kukuza Kiswahili muhimu

Ushirikiano wa pamoja baina wa vyombo vinavyokuza lugha ya Kiswahili unahitajika sana. Ushirikiano huu unahitajika ndani ya nchi na pia nje ya nchi. Kwa mfano ndani ya nchi yetu ya Tanzania viko vyombo vya serikali na vya watu binafsi ambavyo vinajishughulisha na lugha ya Kiswahili.

 

10 years ago

Mwananchi

Harakati za Waingereza kukuza Kiswahili

Waingereza walipochukua koloni la Tanganyika kutoka kwa Wajerumani, walikuta Kiswahili kimeimarika na kutumika katika utawala na maeneo mengine.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa uzalendo, utashi wa kisiasa katika kukuza Kiswahili

Niliwahi kuandika kwamba Serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake ya kimataifa kuhusu kukiendeleza Kiswahili.

 

5 years ago

Michuzi

UNESCO YATAMBUA KISWAHILI KAMA LUGHA ITAKAYOSAIDIA KUKUZA UTANGAMANO BARANI AFRIKA

 


Mhe. Balozi Shelukindo (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya Wajumbe kutoka UNESCO wakiangalia machapisho mbalimbali ya Lugha ya Kiswahili yaliyoandaliwa na Ubalozi baada ya kushiriki mjadala kuhusu Lugha ya Kiswahili ulioandaliwa na Ubalozi kwa kushirikiana na UNESCO.

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na Mwakilishi wa Kudumu katika UNESCO, Mhe. Samwel Shelukindo akizungumza kwenye Mjadala kuhusu "Fursa na Changamoto za Kukitambua Kiswahili kama Lugha rasmi ya Bara la Afrika kwa ajili...

 

10 years ago

Vijimambo

SHULE ZA MOSHI MJINI MJADALA WA KUKUZA NA KUDUMISHA KISWAHILI NA KUINUA KIWANGO CHA ELIMU, MGENI RASMI KIJANA DAUDI MRINDOKO

Mjadala kubwa wa kukuza na kudumisha lugha ya Kiswahili ulitawala katika Debate iliyofanyika mjini Moshi,mdahalo huo uliudhuriwa na walimu pamoja na wanafunzi kutoka shule za Secondary...Korongoni Secondary / Regnal Mengi Secondary / Bendel secondary / Mother Theresa Secondary na zinginezo katika mdahalo huo mgeni rasmi alikuwa Kijana Daudi Babu Mrindoko mwenyekiti wa tahasisi ya Wazalendo Tanzania pia mjumbe wa Uvccm mkoa kilimanjaro.Wanafunzi wa shule hizo wamedhamiria kukikuza,kukidumisha...

 

5 years ago

Michuzi

WAZILI RUKUVI ATAKA WANANCHI WAMILIKISHWE ARDHI KUKUZA KIPATO

Shinyanga

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Wakurugenzi wa Almashauri zote za Wilaya pamoja na Manispaa Mkoani Shinyanga kuharakisha upimaji ardhi na utoaji hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi ikiwemo mipango miji ili kuongeza mapato ya Serikali na kuepukana na ujenzi holela mkoani humo.

Waziri Lukuvi amesema hayo Mkoani Shinyanga alipofika Mkoani humo kwa lengo la kujionea ofisi mpya zitakazotumiwa na Msajili wa Ardhi pamoja na Kamishina wa Ardhi...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI MKURANGA WAASWA KUCHANGIA DAMU

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Prof. Emanuel Mjema (kulia) akimkabidhi Mganga Mfawidhi wa hospitali ya wilaya ya Mkuranga Dkt. Anwar Milulu (kushoto) msaada wa mashuka 90 yaliyotolewa na chuo hicho kusaidia wagonjwa katika hospitali hiyo.Makabidhiano hayo yalifanyika jana wilayani Mkuranga kama sehemu ya Chuo hicho kuadhimisha miaka 50 toka kianzishwe mwaka 1965.Baadhi ya Wauguzi na wahudumu wa afya wa hospitali ya wilaya ya Mkuranga wakiangalia moja ya shuka kati ya mashuka 90...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira

IMG_6063

Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).

IMG_6115

Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani