Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watetea Machinga kuondolewa Mbeya

Wamiliki wa maduka jijini hapa wameunga mkono hatua za mamlaka kuvunja vibanda vilivyokuwa kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam kwenda Zambia katika maeneo ya Mafiati, Mwanjelwa, Kabwe hadi Mama John.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex

WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa  katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao  katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani watetea wanajeshi wastaafu

KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imeitaka serikali kuwa makini na maisha ya wanajeshi wastaafu ambao wamekuwa wakiishi kwa kuombaomba. Kutokana na mwenendo huo, kambi hiyo imepanga kufanya maandamano nchi nzima...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wadau watetea wanyamapori London

Wahifadhi wakuu wa mazingira kutoka kote duniani wanakutana mjini London Uingereza kubuni mikakati ya kukomesha Uwindanji haramu wa wanyama pori walio katika hatari ya kuangamia.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi watetea mfumo wa Muungano

WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.

 

10 years ago

Habarileo

Watetea viongozi kufungua akaunti nje

BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Katiba wametetea viongozi kufungua akaunti nje ya nchi wakisema uongozi si utumwa.

 

10 years ago

Habarileo

Madiwani 10 Monduli watetea nafasi CCM

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.MADIWANI 10 kati ya 15 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kata za wilaya ya Monduli mkoani Arusha, waliodaiwa kukihama chama hicho, wamechukua fomu za kutetea nafasi zao kwa tiketi ya CCM na kuzirejesha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waamuzi Tanzania watetea beji za FIFA

SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limewapa beji waamuzi 10 wa Tanzania kwa mwaka 2014. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Shirikisho la...

 

9 years ago

Habarileo

Wabunge Nkasi watetea nafasi zao

WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomaliza muda wao katika majimbo ya Nkasi Kaskazini na Kusini mkoani Rukwa, wametetea nafasi zao baada ya kuibuka washindi katika uchaguzi.

 

11 years ago

Habarileo

Watetea mjadala wa Katiba mpya nje ya Bunge

MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba mpya nje ya bunge umetajwa kuwa ni muhimu na unasaidia wajumbe wa Bunge Maalumu kujadili kwa upana na kuweka hoja vizuri au kuzibadilisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani