Lowassa ni pasua kichwa (2)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
Na Absalom Kibanda,
TAIFA linazidi kujongea kuelekea katika kilele cha kelele za shangwe na majonzi yatakayotokana na uteuzi wa wagombea na baadaye matokeo ya ama kushinda au kushindwa katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kwa maneno mengine, hali hiyo inaeleza kuwadia kwa msimu wa Uchaguzi Mkuu ambao kwa utamaduni wa miaka ya hivi karibuni hutawaliwa na kila aina ya vituko vinavyohusisha na kugusa watu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Lowassa pasua kichwa
Na Absalom Kibanda, Dar es salaam
SASA ni bayana kwamba tumeingia kwa kishindo mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambao Watanzania tunaratajia kupata safu mpya ya viongozi wa kisiasa na wa kiserikali watakaoliongoza taifa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Kauli za kushtusha, kushangaza, za maana na za kipuuzi zimeanza kusikika kutoka katika kila kona ya taifa hili zote zikigusia kwa namna moja au nyingine kile ambacho kinaweza kikabadili mwelekeo wa siasa za Tanzania kwa miaka mingi ijayo.bTumewasikia...
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Urais pasua kichwa
RIPOTI ya utafiti ya Taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imevuruga mijadala ya kitaifa inayoendelea nchini. Ripoti hiyo iliyozinduliwa Dar es Salaam wiki...
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Escro Pasua Kichwa
Elizabeth Mjatta na Aziza Masoud,Dar es Salaam
KAULI ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kwamba hatojiuzulu na kwamba yeye na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo bado wanategemewa na Rais Jakaya Kikwete imeonekana kutibua nyongo za wasomi, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali.
Mbali na wasomi, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali waliozungumza na gazeti hili, kuhusiana na kauli hiyo aliyoitoa juzi mbele ya waandishi wa habari...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Bunge la Katiba pasua kichwa
VUGUVUGU la kutaka Bunge Maalum la Katiba, liahirishwe jana liliitawala katika semina ya wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wajumbe kutoka CCM. Semina hiyo iliyowahusisha wabunge wa kamati tano za...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Ukawa sasa pasua kichwa
LICHA ya agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwataka viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), kuacha kususa na kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ili kuendelea na mchakato huo, kufikia jana hakukuwa na mwelekeo wa kulegeza msimamo wao.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Serikali tatu pasua kichwa
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kukabidhi rasimu ya pili ya mabadiliko ya katiba kwa Rais Jakaya Kikwete, suala la muundo wa...
10 years ago
Habarileo13 Aug
Uraia pacha pasua kichwa
SUALA la uraia wa nchi mbili, linaonekana kupasua vichwa vya wanakamati hasa wanaotoka Zanzibar, kutokana na historia ya nchi hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Katiba mpya pasua kichwa
HATIMA ya kupatikana kwa Katiba mpya bado ipo shakani kutokana na kusuasua kwa shughuli za Bunge hilo, ambapo sasa limeamua kuunda kamati ya mashauriano. Kamati hiyo iliyoundwa jana na Mwenyekiti...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mahakama ya Kadhi bado ‘pasua kichwa’