Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urais pasua kichwa

RIPOTI ya utafiti ya Taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imevuruga mijadala ya kitaifa inayoendelea nchini. Ripoti hiyo iliyozinduliwa Dar es Salaam wiki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Lowassa pasua kichwa

Lazaro-Nyalandu1Na Absalom Kibanda, Dar es salaam

SASA ni bayana kwamba tumeingia kwa kishindo mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambao Watanzania tunaratajia kupata safu mpya ya viongozi wa kisiasa na wa kiserikali watakaoliongoza taifa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Kauli za kushtusha, kushangaza, za maana na za kipuuzi zimeanza kusikika kutoka katika kila kona ya taifa hili zote zikigusia kwa namna moja au nyingine kile ambacho kinaweza kikabadili mwelekeo wa siasa za Tanzania kwa miaka mingi ijayo.bTumewasikia...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa ni pasua kichwa (2)

Edward Lowassa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa

Na Absalom Kibanda,
TAIFA linazidi kujongea kuelekea katika kilele cha kelele za shangwe na majonzi yatakayotokana na uteuzi wa wagombea na baadaye matokeo ya ama kushinda au kushindwa katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kwa maneno mengine, hali hiyo inaeleza kuwadia kwa msimu wa Uchaguzi Mkuu ambao kwa utamaduni wa miaka ya hivi karibuni hutawaliwa na kila aina ya vituko vinavyohusisha na kugusa watu...

 

10 years ago

Mtanzania

Escro Pasua Kichwa

proftibaijukaElizabeth Mjatta na Aziza Masoud,Dar es Salaam
KAULI ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kwamba hatojiuzulu na kwamba yeye na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo bado wanategemewa na Rais Jakaya Kikwete imeonekana kutibua nyongo za wasomi, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali.
Mbali na wasomi, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali waliozungumza na gazeti hili, kuhusiana na kauli hiyo aliyoitoa juzi mbele ya waandishi wa habari...

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa sasa pasua kichwa

LICHA ya agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwataka viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), kuacha kususa na kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ili kuendelea na mchakato huo, kufikia jana hakukuwa na mwelekeo wa kulegeza msimamo wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya pasua kichwa

HATIMA ya kupatikana kwa Katiba mpya bado ipo shakani kutokana na kusuasua kwa shughuli za Bunge hilo, ambapo sasa limeamua kuunda kamati ya mashauriano. Kamati hiyo iliyoundwa jana na Mwenyekiti...

 

10 years ago

Habarileo

Uraia pacha pasua kichwa

SUALA la uraia wa nchi mbili, linaonekana kupasua vichwa vya wanakamati hasa wanaotoka Zanzibar, kutokana na historia ya nchi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali tatu pasua kichwa

SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kukabidhi rasimu ya pili ya mabadiliko ya katiba kwa Rais Jakaya Kikwete, suala la muundo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba pasua kichwa

VUGUVUGU la kutaka Bunge Maalum la Katiba, liahirishwe jana liliitawala katika semina ya wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wajumbe kutoka CCM. Semina hiyo iliyowahusisha wabunge wa kamati tano za...

 

10 years ago

Mwananchi

Choki: Kuendesha bendi ni pasua kichwa

Wiki hii tasnia ya muziki wa dansi imeshuhudia msanii mkongwe katika dansi ya kizazi kipya nchini Komredi Ally Choki mwenye majina mengi yakiwamo ‘mzee wa farasi’ na ‘mzee wa kijiko’, akitangazwa kurudi katika bendi yake ya zamani, The African Stars band `Twanga Pepeta’.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani