GEPF WASAINI MKATABA NA BODI YA WAHASIBU NA WAKAGUZI (NBAA) WA UWEKEZAJI WA PAMOJA KATIKA ENEO LA BUNJU MJINI DAR
Mfuko wa Pensheni wa GEPF umesaini mkataba wa uwekezaji na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) katika eneo la Bunju. Uwekezaji huo utakaohusisha kumbi za mikutano (Conference Halls) zenye uwezo wa kuchukua watu Zaidi ya 1,200, migahawa (Restaurants), Hoteli yenye hadhi ya kimataifa yenye vyumba Zaidi ya 102, Maktaba, Bwawa la kuogelea (Swimming Pool) pamoja na sehemu za mazoezi (Gymnasium) Uwekezaji huo utagharimu Zaidi ya shilingi Bilioni 10 za kitanzania na unategemewa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2XOv1Vybj2E/VDF8g1KgskI/AAAAAAAGoEU/XSLm2GmNIZI/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Mahafali ya 36 ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) yafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-2XOv1Vybj2E/VDF8g1KgskI/AAAAAAAGoEU/XSLm2GmNIZI/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sS12c9XxDdI/VDF8g_f-C6I/AAAAAAAGoEg/XOu311ZrtxY/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s72-c/IMG-20151015-WA0009.jpg)
TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s640/IMG-20151015-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8Zg2_nKNl8/Vh-LtVoQrMI/AAAAAAADA8k/nX0zBE9-wBs/s640/IMG-20151015-WA0015.jpg)
11 years ago
MichuziMAGEREZA NA GEPF WATILIANA MKATABA WA UWEKEZAJI
Jeshi la Magereza nchini kupitia Shirika lake la uzalishaji mali (Prisons Corporation Sole) limetiliana Mkataba wa uwekezaji na Mfuko wa Jamii wa GEPF ambapo majengo ya vitega uchumi yatajengwa katika maeneo ya Kihonda Mkoani Morogoro na Karanga Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Tukio hilo la utiwaji sahini mkataba huo limefanyika leo Alhamis 29, 2014 katika ukumbi wa mikutano ulioko Makao Makuu ya Jeshi la Magereza Jijini Dar es salaam. Akiongea katika hafla hiyo...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Wahasibu 813 wafaulu mitihani ya NBAA
10 years ago
MichuziGEPF KWA KUSHIRIKANA NA JESHI LA MAGEREZA KUWEKEZA KWA PAMOJA KATIKA UJENZI WA ‘SHOPPING MALLS’ KATIKA MIKOA YA MOROGORO NA KILIMANJARO
10 years ago
GPLGEPF KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA MAGEREZA KUWEKEZA KWA PAMOJA KATIKA UJENZI WA ‘SHOPPING MALLS’ KATIKA MIKOA YA MOROGORO NA KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wqj8hrXmF9w/U8-h4xki3gI/AAAAAAAF5Hw/mArGij37Vh0/s72-c/001.FUTARI.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAFUTURU KWA PAMOJA NA WATOTO YATIMA WA MWANDALIWA BUNJU JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-wqj8hrXmF9w/U8-h4xki3gI/AAAAAAAF5Hw/mArGij37Vh0/s1600/001.FUTARI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--UnfHiXsA6Y/U8-h5C6WobI/AAAAAAAF5H8/0HbFHYggv5c/s1600/002.FUTARI.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7Np9G0fN4Nm7SMhYw4-CNX9LNETs4WzkHt7Cusyv31dAjFRnIoS6i605-KuRa390mzcOlArj*0ht*5UaWOS1B8/001.FUTARI.jpg?width=650)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAFUTURU KWA PAMOJA NA WATOTO YATIMA WA MWANDALIWA BUNJU JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zoaMf1osy30/UwO1c5g8RbI/AAAAAAAFN1Q/cbT1vwJG-ls/s72-c/unnamed+(49).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KUKAGUA NYUMBA ZINAZOJENGWA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA ENEO LA BUNJU B JIJINI DAR ES SALAAM