Watahiniwa kidato cha nne kuanza mitihani rasmi
 Wanafunzi 297,488 wa kidato cha nne katika shule mbalimbali nchini, wanaanza mtihani wa kuhitimu utakaokamilika baada ya siku 20 huku watahiniwa wakionywa kujiepusha na vitendo vya udanganyifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Nov
Watahiniwa kidato cha nne waanza mitihani
Wanafunzi wa kidato cha nne nchini wameanza mitihani ya Taifa ya kuhitimu elimu ya sekondari huku hali ya utulivu ikitawala katika vituo vyote vya kufanyia mitihani hiyo.
Mitihani hiyo imeanza Novemba 2 hadi 27 na jumla ya watahiniwa 4,634 ndiyo wanaofanya mitihani hiyo huku 960 wakiwa ni watahiniwa wa kujitegemea.
Startv imetembelea katika baadhi ya shule ambapo mitihani hiyo inafanyika na kushuhudia wanafunzi wakiwa wanajisomea kwa ajili ya kujikumbusha kile walichofundishwa.
Monica...
9 years ago
GPL31 Oct
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-a-oS7bkWPCA/XseSsxy2cpI/AAAAAAABMJ4/o8jmbSOu-NQWwOscHfuP16SWzIITSRWqwCLcBGAsYHQ/s72-c/98481023_2829380163839606_1179082309320572928_n.png)
MITIHANI KIDATO CHA SITA KUANZA RASMI 29 JUNI,2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-a-oS7bkWPCA/XseSsxy2cpI/AAAAAAABMJ4/o8jmbSOu-NQWwOscHfuP16SWzIITSRWqwCLcBGAsYHQ/s400/98481023_2829380163839606_1179082309320572928_n.png)
10 years ago
Habarileo30 Oct
'Kidato cha nne msiibe mitihani'
WANAFUNZI wa Kidato cha Nne wanaotarajiwa kufanya mtihani wa taifa wameonywa kujiepusha na vishawishi vya kushiriki kwenye wizi wa mitihani na udanganyifu mwingine utakaowaondolea sifa ya kuendelea kufanya mitihani yao.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Mitihani kidato cha nne upo palepale
10 years ago
GPLMITIHANI YA KIDATO CHA NNE YAANZA, GPL YATEMBELEA MANZESE DAR
11 years ago
Michuzi29 Jun
BARAZA LA MITIHANI LAPANGUA MFUMO MZIMA WA KUPANGA MADARAJA YA UFAULU KIDATO CHA NNE NA TANO
![](https://2.bp.blogspot.com/-iyagcdX7E9g/U621AyDjleI/AAAAAAAAJUo/FPL6k41YOQY/s640/1.jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Watahiniwa darasa la saba zaidi ya 700,000 kuanza mitihani kesho
9 years ago
GPL16 Nov