Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watahiniwa kidato cha nne kuanza mitihani rasmi

  Wanafunzi 297,488 wa kidato cha nne katika shule mbalimbali nchini, wanaanza mtihani wa kuhitimu utakaokamilika baada ya siku 20 huku watahiniwa wakionywa kujiepusha na vitendo vya udanganyifu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Watahiniwa kidato cha nne waanza mitihani

Wanafunzi wa kidato cha nne nchini wameanza mitihani  ya Taifa ya kuhitimu elimu ya sekondari huku hali ya utulivu ikitawala katika vituo vyote vya kufanyia mitihani hiyo.

Mitihani hiyo imeanza Novemba 2 hadi 27 na jumla ya watahiniwa 4,634 ndiyo wanaofanya mitihani hiyo huku  960 wakiwa ni watahiniwa wa kujitegemea.

 Startv imetembelea katika baadhi ya shule ambapo mitihani hiyo inafanyika na kushuhudia wanafunzi wakiwa wanajisomea kwa ajili ya kujikumbusha kile walichofundishwa.

Monica...

 

5 years ago

CCM Blog

MITIHANI KIDATO CHA SITA KUANZA RASMI 29 JUNI,2020

"Mitihani ya kidato cha sita itaanza rasmi tarehe 29 Juni na itafanyika hadi tarehe 16 Julai 2020, mitihani hiyo ya kidato cha sita itaenda sambamba na mitihani ya ualimu"-Joyce Ndalichako - Waziri wa Elimu Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

'Kidato cha nne msiibe mitihani'

WANAFUNZI wa Kidato cha Nne wanaotarajiwa kufanya mtihani wa taifa wameonywa kujiepusha na vishawishi vya kushiriki kwenye wizi wa mitihani na udanganyifu mwingine utakaowaondolea sifa ya kuendelea kufanya mitihani yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Mitihani kidato cha nne upo palepale

Wakati Rais Jakaya Kikwete akitangaza kuwa leo ni siku ya mapumziko nchi nzima ili kutoa nafasi kwa Watanzania kushiriki na kufuatilia sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule, Dk John Magufuli kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, wanafunzi wa kidato cha nne wataendelea na mitihani yao ya kuhitimu elimu ya sekondari kama kawaida.

 

10 years ago

GPL

MITIHANI YA KIDATO CHA NNE YAANZA, GPL YATEMBELEA MANZESE DAR

Wanafunzi  wakijisomea ili kukabiliana na mtihani unaofuata. Mwanafunzi akipitia  daftari lake kabla ya kuingia darasani. Baadhi ya wanafunzi wakiwa mapumziko kusubiri mtihani.…

 

11 years ago

Michuzi

BARAZA LA MITIHANI LAPANGUA MFUMO MZIMA WA KUPANGA MADARAJA YA UFAULU KIDATO CHA NNE NA TANO


Matokeo ya Mtihani wa Majaribio (Mock) kwa mtihani wa Kidato cha Nne mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani, yatachangia alama 10 za Alama Edelevu (CA). Kwa utaratibu huu, matokeo ya mwisho ya mtahiniwa, yatatokana na asilimia 30 ya Alama Endelevu na asilimia 70 ni mchango wa Alama za Mtihani wa Taifa.  Asilimia 30 za Alama Endelevu, zitapatikana kutokana na mitihani mbalimbali. Kwa Kidato cha Nne mwaka huu, alama hizo zitatokana na matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha pili ambao...

 

9 years ago

Mwananchi

Watahiniwa darasa la saba zaidi ya 700,000 kuanza mitihani kesho

Wanafunzi 775,729 walioandikishwa kufanya mtihani wa darasa la saba nchini, kesho wanaanza kufanya mtihani huo, huku idadi ya watahiniwa ikipungua ukilinganisha na walioandikishwa mwaka jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani