MITIHANI YA KIDATO CHA NNE YAANZA, GPL YATEMBELEA MANZESE DAR
Wanafunzi  wakijisomea ili kukabiliana na mtihani unaofuata. Mwanafunzi akipitia daftari lake kabla ya kuingia darasani. Baadhi ya wanafunzi wakiwa mapumziko kusubiri mtihani.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Oct
'Kidato cha nne msiibe mitihani'
WANAFUNZI wa Kidato cha Nne wanaotarajiwa kufanya mtihani wa taifa wameonywa kujiepusha na vishawishi vya kushiriki kwenye wizi wa mitihani na udanganyifu mwingine utakaowaondolea sifa ya kuendelea kufanya mitihani yao.
10 years ago
Mtanzania05 May
Mitihani kidato cha sita yaanza
Grace Shitundu na Michael Sarungi, Dar es Salaam
MTIHANI wa kidato cha Sita ulioanza jana nchini kote umeendelea licha ya mgomo wa madereva uliofanyika na kusababisha tatizo la usafiri.
Mtanzania ilifanikiwa kuzunguka katika baadhi ya shule zilizopo katikati ya jiji la Dar es Salaam ambazo ni Tambaza, Jangwani na Azania na kukuta wanafunzi wakiendeleea na mitihani yao.
Hata hivyo baadhi ya walimu waliliambia gazeti hili kuwa kuna baadhi ya wanafunzi wamechelewa kufika katika chumba cha...
9 years ago
StarTV03 Nov
Watahiniwa kidato cha nne waanza mitihani
Wanafunzi wa kidato cha nne nchini wameanza mitihani ya Taifa ya kuhitimu elimu ya sekondari huku hali ya utulivu ikitawala katika vituo vyote vya kufanyia mitihani hiyo.
Mitihani hiyo imeanza Novemba 2 hadi 27 na jumla ya watahiniwa 4,634 ndiyo wanaofanya mitihani hiyo huku 960 wakiwa ni watahiniwa wa kujitegemea.
Startv imetembelea katika baadhi ya shule ambapo mitihani hiyo inafanyika na kushuhudia wanafunzi wakiwa wanajisomea kwa ajili ya kujikumbusha kile walichofundishwa.
Monica...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Mitihani kidato cha nne upo palepale
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Watahiniwa kidato cha nne kuanza mitihani rasmi
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mitihani kidato cha pili yaanza leo nchini
9 years ago
GPL31 Oct
11 years ago
Michuzi29 Jun
BARAZA LA MITIHANI LAPANGUA MFUMO MZIMA WA KUPANGA MADARAJA YA UFAULU KIDATO CHA NNE NA TANO
![](https://2.bp.blogspot.com/-iyagcdX7E9g/U621AyDjleI/AAAAAAAAJUo/FPL6k41YOQY/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s72-c/IMG-20141207-WA0006.jpg)
mahafali ya shule ya sekondari Twayyibat kidato cha nne yafanyika temeke jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZjnTJ4kAFlY/VIWIW_vGVTI/AAAAAAACwGE/MVpEYQlP4ug/s1600/IMG-20141207-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F7-nUks-Px4/VIWIYqgHT7I/AAAAAAACwGM/JnNywPLEdSY/s1600/IMG-20141207-WA0011.jpg)