Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je namba ya bure ya 116 inaokoa TZ?

Ni kwa ajili ya kuripoti ukatili wa watoto

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?

Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]

The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa aipa Ukawa wabunge 116

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema aliyeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ameupa umoja huo ushindi wa viti 116 vya wabunge katika Bunge la kumi na moja litakaloanza Novemba 17, Mjini Dodoma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Algeria yatoweka na watu 116

Maafisa wa Serikali mjini Algiers wamedhibitisha kuwa wamepoteza mawasiliano na ndege ya abiria ikitoka Burkina Faso.

 

11 years ago

TheCitizen

Missing Algeria flight ‘crashes’ with 116 on board

An Air Algerie plane that went missing early Thursday with 116 people on board has crashed, reports Reuters. 51 French citizens and 26 from Burkina Faso were among the 116 passengers on the plane which dropped off the radar as it flew over northern Mali, according to an AFP report.

 

11 years ago

Bongo5

Just In: Ndege ya Algeria iliyokuwa na watu 116 yaanguka

Ndege ya shirika la Air Algerie la Algeria iliyokuwa ikitoka nchini Burkina Faso kwenda Algiers na kuripotiwa kupotea kwenye radar mapema leo, imethibitishwa kuwa imeanguka. Msako wa kutafuta mabaki ya ndege hiyo unaendelea na ilikuwa na abiria zaidi ya 100 na wafanyakazi 6. Awali mamlaka inayohusika na uchunguzi wa anga ilisema ilipoteza mawasiliano na ndege […]

 

11 years ago

GPL

NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116

Ndege iliyopoteza mawasiliano inafanana na hii pichani juu. SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers kupita Sahara. Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza. Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo. Chanzo cha habari...

 

5 years ago

Daily Mail

UK coronavirus cases at 116: fears of NHS spread of infection

UK coronavirus cases at 116: fears of NHS spread of infection  Daily MailView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Dewji Blog

News Alert: Air Algerie plane with 116 on board falls off radar

air-algerie-792a77f3e2bf1ae4df792a62ae478a98

An Air Algerie flight with 116 people on board has dropped off radar, prompting a search for the missing plane, the airline’s operator said Thursday.

Flight 5017 lost radar contact 50 minutes after takeoff from Ouagadougou, Burkina Faso, early Thursday. It was supposed to arrive at Algiers’ Houari Boumediene Airport about four hours later.

The plane, an MD-83, was carrying 110 passengers, two pilots and four crew members. The MD-83 is part of the McDonnell Douglas MD-80 family of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani