Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wengi watumia namba zisizosajiliwa

Licha ya muda wa usajili wa namba za simu kupita, imebainika kuwa idadi kubwa ya wananchi wanatumia namba hizo bila kuzisajili jambo linaloelezwa kuwa linachochea vitendo vya utapeli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?

Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]

The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

9 years ago

Bongo5

Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch

Miongoni mwa vitu vinavyoikamilisha ‘package’ ya msanii mzuri ukiachilia mbali kipaji ni pamoja na nidhamu ya kazi, pamoja na watu wanaomzunguka msanii wakiwemo mashabiki. Producer T-Touch amesema kuwa msanii bila kuwa na nidhamu ni ngumu kufanya vizuri hata kama ana kipaji. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio producer huyo aliyefanya hits ikiwemo ‘Muziki Gani’ […]

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO


The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumia tochi kuzalisha wajawazito

WAUGUZI wa Zahanati ya Kivukoni, Kata ya Minepa, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, wanalazimika kutumia tochi kushona majeraha na kuzalisha wajawazito wanaofika kupata huduma usiku. Afisa afya zahanati hiyo, Costansia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumia vyandarua kupepetea ufuta

WAKULIMA wa ufuta katika Wilaya za Mbozi na Chunya mkoani Mbeya, wanalazimika kutumia vyandarua kupepetea zao hilo kutokana na kukosa vitendea kazi kipindi cha mavuno. Vyandarua hivyo ni vile vilivyotolewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito Hondogo watumia vibatari

WANAWAKE wajawazito katika Kijiji cha Hondogo, Wilaya ya Bagamoyo wanaojifungulia katika zahanati ya kijiji hicho, wanalazimika kutumia mwanga wa vibatari na simu kutokana na kukosekana kwa umeme. Mwenyekiti wa kijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani