Watumia vyandarua kupepetea ufuta
WAKULIMA wa ufuta katika Wilaya za Mbozi na Chunya mkoani Mbeya, wanalazimika kutumia vyandarua kupepetea zao hilo kutokana na kukosa vitendea kazi kipindi cha mavuno. Vyandarua hivyo ni vile vilivyotolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Jun
Watumia noti bandia kulipa wakulima wa ufuta
WAFANYABIASHARA wilayani Nachingwea mkoani Lindi wanadaiwa kutumia fedha bandia kununulia zao la ufuta.
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1592565865801.jpg)
WAKULIMA WA UFUTA WAASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-c-vkOvw2PgM/Xu0HCx3fvQI/AAAAAAALurk/zfl5k56XCPA7MwAAuhaZlJCH-bqJ5VGswCLcBGAsYHQ/s640/FB_IMG_1592565865801.jpg)
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu akikagua ufuta kwenye ghala la Huru Amcos lililopo Kijiji cha Shangani kata ya Michenjele ambapo amewaasa Wakulima wa Ufuta kuzingatia ubora na kuuza ufuta wao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
…………………………………………………………………………………………..
~ Kuhakikisha wanauza Ufuta ghalani
~ Kuzingatia ubora
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wakulima wa zao la Ufuta wameaswa kuuza Ufuta wao kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora na si vinginevyo.
Hayo yamejiri...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TAG kugawa vyandarua 8,550
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
KANISA la Tanzania Assemblies Of God (TAG), linatarajiwa kugawa vyandarua 8,550 vyenye thamani ya sh. milioni 135 katika hospitali 34 na vituo vya afya 83 kwenye mikoa ya Njombe, Mbeya na Rukwa.
Vyandarua hivyo vitaanza kugawiwa katika hospitali na vituo vya afya vyote vya serikali, taasisi za kidini na binafsi.
Askofu Mkuu wa TAG, Dk. Barnabas Mtokambali, aliyasema hayo jana wakati wa uzinduzi wa kugawa vyandarua hivyo katika hospitali ya Rufani Mbeya, ikiwa ni...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Pemba watakiwa kutumia vyandarua
WANANCHI wa Pemba wametakiwa kuendelea kutumia vyandarua, kama njia pekee ya kupambana na malaria na kupunguza vifo vya akinamama na watoto.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Wakulima wa ufuta wapanua mashamba
11 years ago
Habarileo25 Jul
Vyandarua vya hati punguzo vyasitishwa
MPANGO wa hati punguzo ambao wajawazito na watoto wachanga, walikuwa wakigawiwa vyandarua bure, umesitishwa kutokana na kile kilichoelezwa ni udanganyifu, unaodaiwa kufanywa na baadhi ya watumishi.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Kanisa latoa msaada wa vyandarua 2,700
MADHEHEBU ya dini nchini yametakiwa kueneza upendo na kujali maisha ya watu bila kujali itikadi na imani zao ili kuleta utengamano wa kitaifa.
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Morogoro wataka elimu matumizi ya vyandarua
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imetakiwa kutoa elimu ya matumizi ya vyandarua kwa wananchi vijijini ili kuyakabili magonjwa yatokanayo na mbu ikiwemo malaria. Hayo yalisemwa na mwenyekiti wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10