Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAG kugawa vyandarua 8,550


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
KANISA la Tanzania Assemblies Of God (TAG), linatarajiwa kugawa vyandarua 8,550 vyenye thamani ya sh. milioni 135 katika hospitali 34 na vituo vya afya 83 kwenye mikoa ya Njombe, Mbeya na Rukwa.
Vyandarua hivyo vitaanza kugawiwa katika hospitali na vituo vya afya vyote vya serikali, taasisi za kidini na binafsi.
Askofu Mkuu wa TAG, Dk. Barnabas Mtokambali, aliyasema hayo jana wakati wa uzinduzi wa kugawa vyandarua hivyo katika hospitali ya Rufani Mbeya, ikiwa ni...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KANISA LA TAG (TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD) LAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA 1300 KWA HOSPITALI NA VITUO VYA AFYA MKOANI RUKWA

Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jimbo la Rukwa Mchungaji Nestory Watua akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Ndugu Methew Sedoyyeka vyandarua 1300 vya kukinga mbu waenezao Malaria kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya tarehe 04/07/2014. Msaada huo ni sehemu ya vyandarua 8550 vitakavyotolea na Kanisa hilo kwa Mikoa ya Mbeya, Njombe na Rukwa katika kuadhimisha  Jubilee ya miaka 75 ya Kanisa hilo nchini. Pamoja na zoezi la ugawaji vyandarua hivyo...

 

11 years ago

Michuzi

REGINALD MENGI FROM BAREFOOT TO $550 MILLION

Reginald Mengi,Meet Reginald Mengi , a Tanzanian conglomerate that owns 11 national newspapers (including Tanzania’s Financial Times, ThisDay and The Guardian), three of East Africa’s most popular television stations (EATV, Capital and ITV), and about ten radio stations. He also owns gold mines and Coca-Cola bottling plants in the country. His companies employ over 5,000 people in Tanzania and rank among the largest corporate taxpayers in Tanzania.  Mengi grew up poor in northern Tanzania, studied...

 

11 years ago

Tanzania Daima

1,550 wang’atwa na mbwa wazururaji

WAGONJWA 1,550 waliong’atwa na mbwa wanaozurura mitaani wamepokelewa katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma mwaka jana ambapo kati yao wanne walipoteza maisha. Tangu kuanza kwa mwaka huu tayari watu sita...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kortini wakidaiwa kuiibia TPB mil. 550/-

WATU wa wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, wakikabiliwa na shitaka la wizi wa zaidi ya sh. milioni 550 mali ya Benki...

 

10 years ago

TheCitizen

COVER: Where did ‘Bongo Flava’ tag come from?

>There is no question that  Bongo Flava has reached  new heights and the debate  on authenticity still rages on.Bongo Flava has today claimed the music stage which was once a preserve  of  Congolese music .

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAG yatembelea wagonjwa wa saratani

WAUMINI wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) jana waliwatembelea wagonjwa wa saratani waliopo kwenye Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam na kugawa vitu mbalimbali vyenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji TAG akutwa amekufa shambani

Watu watatu akiwamo Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) na watoto wa miaka sita wamefariki dunia katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani hapa siku mbili zilizopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi Kanisa la TAG kuchangia damu

>Zaidi ya wachungaji 800 wanaounda Baraza la Waangalizi la Kanisa la Tanzania Assemblies of Tanzania (TAG) wamepanga kuchangia damu kwa hiari ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Jubilee ya miaka 75 ya kanisa hilo tangu kuanzishwa kwake nchini.

 

11 years ago

TheCitizen

UDA risks bearing the beautiful feathers tag

After shepherding a few passengers onto his mini-bus, a daladala conductor (konda) slams the door shut. He turns his face, surveys the interior of the machine and smiles, not to anyone but himself

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani