TAG kugawa vyandarua 8,550
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
KANISA la Tanzania Assemblies Of God (TAG), linatarajiwa kugawa vyandarua 8,550 vyenye thamani ya sh. milioni 135 katika hospitali 34 na vituo vya afya 83 kwenye mikoa ya Njombe, Mbeya na Rukwa.
Vyandarua hivyo vitaanza kugawiwa katika hospitali na vituo vya afya vyote vya serikali, taasisi za kidini na binafsi.
Askofu Mkuu wa TAG, Dk. Barnabas Mtokambali, aliyasema hayo jana wakati wa uzinduzi wa kugawa vyandarua hivyo katika hospitali ya Rufani Mbeya, ikiwa ni...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uVybV_yOiw8/U7gZQTSgCFI/AAAAAAAAFnM/ny7xqZbzCJY/s72-c/IMG_2317.jpg)
KANISA LA TAG (TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD) LAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA 1300 KWA HOSPITALI NA VITUO VYA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uVybV_yOiw8/U7gZQTSgCFI/AAAAAAAAFnM/ny7xqZbzCJY/s1600/IMG_2317.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Jul
REGINALD MENGI FROM BAREFOOT TO $550 MILLION
![Reginald Mengi,](http://africancelebs.com/wp-content/uploads/2014/06/Reginald-Mengi.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
1,550 wang’atwa na mbwa wazururaji
WAGONJWA 1,550 waliong’atwa na mbwa wanaozurura mitaani wamepokelewa katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma mwaka jana ambapo kati yao wanne walipoteza maisha. Tangu kuanza kwa mwaka huu tayari watu sita...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kortini wakidaiwa kuiibia TPB mil. 550/-
WATU wa wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, wakikabiliwa na shitaka la wizi wa zaidi ya sh. milioni 550 mali ya Benki...
10 years ago
TheCitizen19 Sep
COVER: Where did ‘Bongo Flava’ tag come from?
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
TAG yatembelea wagonjwa wa saratani
WAUMINI wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) jana waliwatembelea wagonjwa wa saratani waliopo kwenye Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam na kugawa vitu mbalimbali vyenye...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mchungaji TAG akutwa amekufa shambani
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Viongozi Kanisa la TAG kuchangia damu
11 years ago
TheCitizen13 Jul
UDA risks bearing the beautiful feathers tag