1,550 wang’atwa na mbwa wazururaji
WAGONJWA 1,550 waliong’atwa na mbwa wanaozurura mitaani wamepokelewa katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma mwaka jana ambapo kati yao wanne walipoteza maisha. Tangu kuanza kwa mwaka huu tayari watu sita...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l6IkJINKnPM/XrJ3plV1uqI/AAAAAAALpSk/hl-tkRBRS5ggLzGYQg6Y85YkNuAx5SaYgCLcBGAsYHQ/s72-c/6ae59f1f-f863-4a7d-afa6-930d17f5b600.jpg)
WABUNGE WAZURURAJI KUONDOSHWA DAR BAADA YA SAA 24.
![](https://1.bp.blogspot.com/-l6IkJINKnPM/XrJ3plV1uqI/AAAAAAALpSk/hl-tkRBRS5ggLzGYQg6Y85YkNuAx5SaYgCLcBGAsYHQ/s640/6ae59f1f-f863-4a7d-afa6-930d17f5b600.jpg)
RC Makonda amesema Mbunge anaepaswa kuwa Dar es salaam ni yule mwenye Kibali au Ruhusa ya Spika wa Bunge tofauti na hapo ni vyema wakafunga virago vyao na kurudi Bungeni ili kuepuka kukamatwa.
"Hakuna...
11 years ago
Mwananchi25 May
Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa
11 years ago
Habarileo24 May
Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa
JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TAG kugawa vyandarua 8,550
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
KANISA la Tanzania Assemblies Of God (TAG), linatarajiwa kugawa vyandarua 8,550 vyenye thamani ya sh. milioni 135 katika hospitali 34 na vituo vya afya 83 kwenye mikoa ya Njombe, Mbeya na Rukwa.
Vyandarua hivyo vitaanza kugawiwa katika hospitali na vituo vya afya vyote vya serikali, taasisi za kidini na binafsi.
Askofu Mkuu wa TAG, Dk. Barnabas Mtokambali, aliyasema hayo jana wakati wa uzinduzi wa kugawa vyandarua hivyo katika hospitali ya Rufani Mbeya, ikiwa ni...
11 years ago
Michuzi04 Jul
REGINALD MENGI FROM BAREFOOT TO $550 MILLION
![Reginald Mengi,](http://africancelebs.com/wp-content/uploads/2014/06/Reginald-Mengi.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kortini wakidaiwa kuiibia TPB mil. 550/-
WATU wa wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, wakikabiliwa na shitaka la wizi wa zaidi ya sh. milioni 550 mali ya Benki...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mama wa aliyeng’atwa meno na mwajiri atoa ushahidi
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Miaka mitatu ya kuchomwa kwa pasi na kung’atwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE5ijnLQXcqEgp5mdqvVrma-LGkCmboMjJL*sgAXQF*k63rzSFDTzBNwSe*bW03dUgqwGr4wcEhqHILzriTkfsfY/Back1.jpg)
RAY C ANG’ATWA NA PAKA KUFA NDANI YA SIKU 97!