RAY C ANG’ATWA NA PAKA KUFA NDANI YA SIKU 97!
![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE5ijnLQXcqEgp5mdqvVrma-LGkCmboMjJL*sgAXQF*k63rzSFDTzBNwSe*bW03dUgqwGr4wcEhqHILzriTkfsfY/Back1.jpg)
Staa anayetamba na ngoma mpya ya ‘Nshumu nshumu’, Rehema Chalamila ‘Ray C’ hivi k aribuni alijikuta katika wakati ngumu baada ya kuvamiwa na paka na kumng'ata kwenye mguu.Sosi wa habari hii alisema kuwa Paka yule alikuwa eneo la Methadone Mwananyamala Hospitali ambapo mwanamuziki huyo anakunywa dawa. Staa anayetamba na ngoma mpya ya ‘Nshumu nshumu’, Rehema Chalamila ‘Ray C’. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaULMDxq-59b0ly41TLvhxYz7k7kWtYM7Xb3rMSiXeK1CnMcMP6yp7exUE*pL9ChYfJj5HWtHsviykin5pg3M7vEM/MARIANAMUMEWE.jpg)
MICHEPUKO: MWANAUME ANG'ATWA SEHEMU NYETI AKILAZIMISHA KUFANYA MAPENZI NA RAFIKI WA MKEWE
10 years ago
Michuzi30 Sep
KINANA ATINGA BUMBULI, ANG'AKA KIWANDA CHA CHAI KUFA MPONDE, ATAKA VIONGOZI WALIOHUSIKA WAWAJIBISHWE.
![](https://4.bp.blogspot.com/-Gio2ThOpzPg/VCmrI_Da4aI/AAAAAAAAqyk/iNLIzdPOb9c/s1600/19a.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika kata ya Mponde, akiwa katika ziara ya kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia ya kuzitatua, katika jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto mkoani Tanga, Septemba 29, 2014. Akizungumza na mamia ya wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Kijiji cha Mponde, Kinana ameitaka serikali kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wote waliohusika kwa namna moja au nyingine...
11 years ago
Mwananchi22 May
Wang’ang’ania kuishi ndani ya hifadhi ya Taifa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIMM0nQ11N7ns8i0vzcWio9rI18iUWGhNfwQXlrFsQ9gwC1xSKvkE334By2Lv6yHUM2LiqzSuGWz-etHMsGbJZc/rayc.jpg)
RAY C SIKU 730 HOSPITALINI
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-
MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.
11 years ago
Habarileo29 Dec
Padri Mkatoliki ang’ang’aniwa kortini
KESI inayomkabili Padri Deogratius Makuri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida kushindwa kutoa matunzo kwa mwanawe, juzi iliahirishwa tena kwa mara ya tatu baada ya mlalamikiwa kushindwa kufika mahakamani.
11 years ago
Habarileo04 May
Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa
PAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.
10 years ago
Habarileo26 Jun
Kafulila ang’ang’ana mabehewa feki
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR Mageuzi) ameitaka Serikali kuwasilisha bungeni taarifa ya kashfa ya ununuzi wa mabehewa feki katika Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na kusababisha hasara ya Sh bilioni 230.