WABUNGE WAZURURAJI KUONDOSHWA DAR BAADA YA SAA 24.
![](https://1.bp.blogspot.com/-l6IkJINKnPM/XrJ3plV1uqI/AAAAAAALpSk/hl-tkRBRS5ggLzGYQg6Y85YkNuAx5SaYgCLcBGAsYHQ/s72-c/6ae59f1f-f863-4a7d-afa6-930d17f5b600.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo May 06 ametoa Saa 24 kwa Wabunge wote waliokimbia kushiriki vikao vya Bunge na kwenda Dar es salaam "kula bata" kuhakikisha wanarudi Bungeni tofauti na hapo watakamatwa kwa kosa la Uzururaji kama wanavyokamatwa machangudoa wanaozurura Usiku.
RC Makonda amesema Mbunge anaepaswa kuwa Dar es salaam ni yule mwenye Kibali au Ruhusa ya Spika wa Bunge tofauti na hapo ni vyema wakafunga virago vyao na kurudi Bungeni ili kuepuka kukamatwa.
"Hakuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Oct
Treni Dar kwa kadi, kila baada ya nusu saa
SERIKALI imetia saini mkataba wa uwekezaji wa pamoja kati yake na kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuanza mradi wa usafiri wa treni ya kisasa itakayoanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA) hadi katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
1,550 wang’atwa na mbwa wazururaji
WAGONJWA 1,550 waliong’atwa na mbwa wanaozurura mitaani wamepokelewa katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma mwaka jana ambapo kati yao wanne walipoteza maisha. Tangu kuanza kwa mwaka huu tayari watu sita...
10 years ago
Habarileo03 Oct
5 waambukizwa ebola kila baada ya saa
SHIRIKA la Msaada la Save the Children limeonya kuwa kiwango cha maambukizi kilichopo sasa nchini Sierra Leone, kinamaanisha kuwa nchi hiyo inakabiliwa na uhaba mkubwa wa vifaa na tiba.
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Barcelona yavunja Mkataba na Guardiola saa moja baada ya kusaini
Sergi Guardiola.
Barcelona, Hispania
KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.
Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.
Kiungo Guardiola mwenye umri wa miaka 24, kabla ya kujiunga na Barca alikuwa akichezea timu ya Alcorcon inayoshiriki ligi ndogo za Hispania.
Walichokisema...
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba
9 years ago
MillardAyo29 Dec
FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid …
Mapenzi ya wachezaji katika vilabu fulani barani Ulaya, imekuwa kawaida hata kama hawavichezei. December 28 klabu ya FC Barcelona imeingia kwenye headlines baada ya kumsainisha mchezaji na kisha kufuta mkataba wake masaa machache baada ya kugundua kuwa ametweet vitu ambavyo vinaihusu timu ya Real Madrid. Baada ya kufuzu majaribio na Barcelona B Sergi Guardiola alisaini […]
The post FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid … appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya Corona: Je, kodi ya nyumba inastahili kuondoshwa katika kipindi hiki cha janga la Covid-19?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T34Tk2k1iLU/XmJey8EuYWI/AAAAAAALhlU/0KAwcfgtxOsezi1bGx9wEGgks4vqY0GrwCLcBGAsYHQ/s72-c/cc5c3b1c-fe1f-4d84-97bb-a1a1d9192272.jpg)
TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA
TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.
Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...
10 years ago
GPLBUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA WABUNGE KUPINGA BAADHI YA MAAZIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW