Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyandarua vya hati punguzo vyasitishwa

MPANGO wa hati punguzo ambao wajawazito na watoto wachanga, walikuwa wakigawiwa vyandarua bure, umesitishwa kutokana na kile kilichoelezwa ni udanganyifu, unaodaiwa kufanywa na baadhi ya watumishi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kampeni ya ugawaji wa vyandarua vya hati Punguzo April 2015

Na Lorietha Laurence-Maelezo
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeandaa kampeni kwa ajili ya ugawaji wa vyandarua vya hati punguzo katika kaya nchini, inayotarajiwa kuanza mwezi Aprili mwaka 2015.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe.Dkt Kebwe Stephen, amesema kampeni hiyo imeanzishwa ili kuziba pengo kutokana na kusitishwa kwa huduma ya hati punguzo iliyokuwa ikifadhiliwa na Mennonite Economic Development Associates (MEDA)...

 

9 years ago

Habarileo

Vibali vya uwindaji vyasitishwa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.

 

11 years ago

Habarileo

Familia 1,500 kunufaika na vyandarua vya bure

FAMILIA 1,500 katika wilaya ya Ukerewe, Mwanza zitanufaika na vyandarua vya bure vya kujikinga na ugonjwa wa malaria vitakavyotolewa na Shirika la Lake Victoria Children Centre (LVC).

 

11 years ago

Michuzi

KANISA LA TAG (TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD) LAKABIDHI MSAADA WA VYANDARUA 1300 KWA HOSPITALI NA VITUO VYA AFYA MKOANI RUKWA

Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jimbo la Rukwa Mchungaji Nestory Watua akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Ndugu Methew Sedoyyeka vyandarua 1300 vya kukinga mbu waenezao Malaria kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya tarehe 04/07/2014. Msaada huo ni sehemu ya vyandarua 8550 vitakavyotolea na Kanisa hilo kwa Mikoa ya Mbeya, Njombe na Rukwa katika kuadhimisha  Jubilee ya miaka 75 ya Kanisa hilo nchini. Pamoja na zoezi la ugawaji vyandarua hivyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT yapinga punguzo la mafao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimepinga vikali punguzo la mafao ya wastaafu wanachama wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) na watumishi wanachama wa LAPF. Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

GPL

PUNGUZO KUBWA LA BEI ZA NGUO ZA KIKE

PUNGUZO KUBWA LA BEI ZA NGUO ZA KIKE!! Kuna Punguzo la Bei katika duka la Sachques Clothing Store, Blouse, Skirts, Blazers, Trousers - Tshs 10,000/=, Short Dresses- 15,000; Long Dresses & Jump Suit-25,000; Hand Bags, Accessories na Viatu pia vipo kwenye PUNGUZO LA BEI, SIMU NAMBA 0774801316, Tupo Kijitonyama Police Mabati DSM, wa Mikoani tunatuma kwa maBasi. Tembelea www.facebook.com/SachquesClothingStore kuona vitu zaidi… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Pata punguzo la tiketi za Diamond Dar Live

mpya diamondMwandishi wetu

KAMPUNI ya simu za mkononi, Airtel kupitia huduma yao ya kijanja kimawasiliano ya Airtel Money Tap Tap wanakuletea punguzo la bei za tiketi za kumshuhudia staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Krimasi (kesho) ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na Amani, Meneja Huduma wa Airtel, Moses James alisema kuwa mteja anatakiwa kununua laini yake ya Airtel kisha kujiunga na huduma ya Airtel Money Tap Tap na baada ya hapo atakabidhiwa namba ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

TAG kugawa vyandarua 8,550


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
KANISA la Tanzania Assemblies Of God (TAG), linatarajiwa kugawa vyandarua 8,550 vyenye thamani ya sh. milioni 135 katika hospitali 34 na vituo vya afya 83 kwenye mikoa ya Njombe, Mbeya na Rukwa.
Vyandarua hivyo vitaanza kugawiwa katika hospitali na vituo vya afya vyote vya serikali, taasisi za kidini na binafsi.
Askofu Mkuu wa TAG, Dk. Barnabas Mtokambali, aliyasema hayo jana wakati wa uzinduzi wa kugawa vyandarua hivyo katika hospitali ya Rufani Mbeya, ikiwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani