Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNDANI WA JAY DEE NA GARDNER KUACHANA

BAADA ya wiki iliyopita aliyekuwa mke wa mtangazaji wa kituo cha radio cha EFM, Gardner G Habash,  mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jay D’ kumwaga sababu za kuachana na mumewe huyo, mkali huyo wa kutangaza ameibuka na kusema  amechukizwa na maneno yaliyotolewa na aliyekuwa mwandani wake huyo huku akidai anamuachia Mungu. Gardner G Habash na Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jay D’ siku ya harusi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Gardner Akanusha Uvumi wa Kuachana Mkewe Jack

Gardner Dibibi ambae ni mume wa mwigizaji wa filamu  Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ amekanusha taarifa  zilizoenea mtandao na kwenye magazeti ya udaku kuwa ameachana mke wake Jack.

Gardner ameimbia Bongomovies.com kuwa taarifa za yeye kuacha na mkwe wake sio za kweli japo kuwa ni kweli walikuwa natofauti za kawaida na wameshazimaliza na pia amekanusha kuwa hakumpa talaka kama ilivyoripotiwa .

”“Taarifa hizo sio za kweli, sisi  tuko pamoja, tulikua na matatizo ya kawaida tu lakini...

 

10 years ago

Mtanzania

Jay Dee: Mimi si Mkikuyu

JAY DEENA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’, ameweka wazi kwamba yeye ni Mtanzania na si Mkikuyu kutoka Kenya kama baadhi ya mashabiki wa muziki kutoka nchini humo wanavyomdhania.
Jay Dee ameeleza hayo baada ya kudai kwamba kila anapokuwa katika maonyesho yake ya muziki nchini humo, mashabiki wake humtaka ahamie nchini humo moja kwa moja.
“Unajua Wakenya wamekuwa wakisema mimi ni Mkikuyu, wanadai natakiwa nikaishi nchini kwao wanajua mi ni Mkikuyu ila nawaeleza ukweli ni...

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

MVUA YATIBUA SHOO YA LADY JAY DEE

Lady jay Dee akiwa jukwaani. Mashabiki wakifuatilia shoo hiyo.…

 

11 years ago

TheCitizen

Jay Dee, husband refute divorce reports

Bongo flava diva Lady Jay Dee and her husband Gardner G. Habash have vehemently refuted reports that the musician is seeking a divorce.

 

11 years ago

TheCitizen

Lady Jay Dee seeks divorce from husband

>Word has it that Lady Jay Dee is seeking a divorce from her husband and manager, Gadner G Habash.

 

9 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

Sugu, Lady Jay Dee waliniumiza kichwa-Ruge

Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani