Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jay Dee, husband refute divorce reports

Bongo flava diva Lady Jay Dee and her husband Gardner G. Habash have vehemently refuted reports that the musician is seeking a divorce.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Lady Jay Dee seeks divorce from husband

>Word has it that Lady Jay Dee is seeking a divorce from her husband and manager, Gadner G Habash.

 

10 years ago

Daily News

Two MPs refute chaos 'regret' reports, march out of House


Two MPs refute chaos 'regret' reports, march out of House
Daily News
TWO opposition members of parliament who were issued with a stern warning for their involvement in an uproar that rocked the National Assembly on Thursday, on Sunday vehemently denied claims by a parliamentary committee that they regretted their ...

 

10 years ago

Mtanzania

Jay Dee: Mimi si Mkikuyu

JAY DEENA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’, ameweka wazi kwamba yeye ni Mtanzania na si Mkikuyu kutoka Kenya kama baadhi ya mashabiki wa muziki kutoka nchini humo wanavyomdhania.
Jay Dee ameeleza hayo baada ya kudai kwamba kila anapokuwa katika maonyesho yake ya muziki nchini humo, mashabiki wake humtaka ahamie nchini humo moja kwa moja.
“Unajua Wakenya wamekuwa wakisema mimi ni Mkikuyu, wanadai natakiwa nikaishi nchini kwao wanajua mi ni Mkikuyu ila nawaeleza ukweli ni...

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

UNDANI WA JAY DEE NA GARDNER KUACHANA

BAADA ya wiki iliyopita aliyekuwa mke wa mtangazaji wa kituo cha radio cha EFM, Gardner G Habash,  mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jay D’ kumwaga sababu za kuachana na mumewe huyo, mkali huyo wa kutangaza ameibuka na kusema  amechukizwa na maneno yaliyotolewa na aliyekuwa mwandani wake huyo huku akidai anamuachia Mungu. Gardner G Habash na Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jay D’ siku ya harusi...

 

11 years ago

GPL

MVUA YATIBUA SHOO YA LADY JAY DEE

Lady jay Dee akiwa jukwaani. Mashabiki wakifuatilia shoo hiyo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu, Lady Jay Dee waliniumiza kichwa-Ruge

Ruge Mutahaba anaweza kuwa ametajwa kwenye masakata mengi ya ubaya dhidi ya wasanii, akibebeshwa lawama kuliko mtu mwingine yeyote kwenye tasnia ya muziki, lakini kwake ni mambo matatu tu ndiyo anaona yamemsumbua sana.

 

10 years ago

Vijimambo

LADY JAY DEE AFUNGUKA KUHUSU KUWA NA MTOTO!

Jide akiwa na Mokonyo (mtoto wa mdogo wake Dabo)Lady Jaydee ameendelea kujibu maswali ya mashabiki wake kupitia Instagram, na maswali mengine aliyokutana nayo ni kuhusu kama ana mtoto au ameasili mtoto ambaye huonekana kwenye kipindi chake cha ‘Diary Ya LadyJaydee’ kinachorushwa kupitia EATV. “SWALI: Una watoto wangapi?JIBU : Sina mtoto wala watoto 
SWALI:Utazaa lini?JIBU : Sijajua mpk sasa nitazaa lini, ila siku yoyote ile ikitokea naweza kuzaa 
SWALI: Kwanini huna mtoto /watoto?JIBU : Sina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani