Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aunt Ezekiel akanusha tetesi za yeye kujifungua

Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu za kibongo Tanzania Aunty Ezekiel kujifungua  hatimaye ameamua kufunguka na kusema kwamba yeye bado hajajifungua na ile video ambayo watu wameiona ni kipande cha movie yake ambayo itatoka hivi karibuni

 

Na ameomba mashabiki wake wasiwe na shaka wakati ukifika watajua tuu kama kajifugua au lah

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Akanusha Taarifa za Kujifungua

Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, mwanahabari wa GPL ametia timu nyumbani kwa Aunt na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na taarifa za kujifungua si za kweli.

Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video kinachomuonyesha mwigizaji huyo akiwa ammbeba mtoto mchanga.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Aunt Ezekiel jana aliweka kipande...

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL AKANUSHA TAARIFA ZA KUJIFUNGUA, ASEMA VIDEO YA MTANDAONI NI KIPANDE CHA FILAMU YAKE

Aunt Ezekiel. BAADA ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, mwanahabari wetu ametia timu nyumbani kwa Aunt na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na taarifa za kujifungua si za kweli. Aunt akiwa na shosti wake Wema Sepetu. Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua

Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa  wa bongo  movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga  kurudi kwa kishindo  kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.

Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua  mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu  maswala ya wazazi  ili kueleimisha  wanawake  wenye tabia ya kutupu watoto  wachanga mara baada ya kujifungua.

Aidha amesema  huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha...

 

9 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Akanusha Kugombana na Nape

"Ndugu zangu,
Naomba niwakumbushe jambo moja kubwa na la msingi ambalo labda mmelisahau. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na inaruhusu kila mtanzania kuwa na imani yake ya kisiasa, kwani ni haki yake ya msingi.
Kiukweli nasikitishwa sana na hii tabia ya watu kuamini kwamba vijana wanaokiunga mkono chama tawala wamenunuliwa, wanatukanwa kila siku na kudhalilishwa kana kwamba hawana haki kwenye nchi yao.
Mbaya zaidi sasa tunaelekea kwenye kupandikizwa ugomvi na viongozi wetu wa chama, najiuliza...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI LAZARO NYALANDU AZUNGUMZIA TETESI ZA KUTANUA NA AUNT EZEKIEL NCHINI MAREKANI

Baada ya vyombo vya habari kuripoti kuhusu Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu(Pichani juu) na msanii wa filamu Aunty Ezekiel kuvinjari nchini Marekani hatimaye waziri huyo Aunt Ezekielalisema tuhuma hizo zimetengenezwa na kundi la watu ambalo miongoni mwao ni baadhi ya viongozi wa Serikali ambao humchafua kutokana na utendaji kazi wake.
Nyalandu alisema alikwenda Marekani septemba12 kwa ajili ya kufungua tamasha la utamaduni na utalii kupitia soko la wasanii wa Tanzania ambako...

 

10 years ago

GPL

LICHA YA KUJIFUNGUA UZURI WA AUNT PALEPALE

MWANDISHI WETU
KIWANGO! Tofauti na watu wengine ambao maumbile yao hubadilika mara baada ya kujifungua, kwa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel hali imekuwa tofauti, uzuri na umbo lake limebaki vilevile. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel akiwa na mwanaye. Akizungumza na wahariri sambamba na waandishi wa Global Publishers nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar, Aunt alisema kilichomfanya asinenepe kupita kiasi na...

 

10 years ago

GPL

DOKTA AMZUIA AUNT KUJIFUNGUA MAREKANI

IMELDA MTEMA DOKTA amempiga stop staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel kwenda kujifungulia nchini Marekani kwa sababu hali yake ya ujauzito aliyofikia haruhusiwi kusafiri kwa kutumia usafiri wa anga kwenda popote. Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel. Chanzo makini kilisema kuwa, Aunt alijiwekea mpango wa kwenda kujifungulia nchini huko kwa muda mrefu lakini alikuwa akisubiri mimba ikue kidogo kitendo ambacho hakikutakiwa kwa kuwa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua



NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya. JOB NdugaiNdugai ambaye tokea kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania alikuwa hajaongoza kikao chochote. Muda mwingi katika kikao hicho, kilikuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda, anapokuwa hayupo bungeni. Akizungumza na Uhuru kwa njia ya simu jana, Ndugai (Kongwa-CCM),...

 

11 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL NA UKWELI MCHUNGU!

NIMEWAHI kuwa mdau wa karibu wa filamu za nyumbani, hasa kipindi kile cha mwanzo mwanzo kabisa baada ya vijana kujiingiza katika uigizaji kufuatia kuzinduliwa kwa filamu namba moja ya kizazi kipya, Girlfriend.Licha ya kupata marafiki katika tasnia hiyo, lakini pia nilivutiwa mno na uwezo wa baadhi ya waigizaji kwa jinsi wanavyoweza kuuvaa uhusika, kiasi ambacho unaamini kabisa kama filamu zetu zingekuwa katika ubora unaotakiwa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani