DOKTA AMZUIA AUNT KUJIFUNGUA MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI0AQ4WFrXhKHBmJINOZf3qsYFFIcg2PPDmnqyQaNDtpE1QNGBWg5xUnFByoDgQD5aHvNeAdE8JBGU9qccGC5qSr/11.jpg)
IMELDA MTEMA DOKTA amempiga stop staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel kwenda kujifungulia nchini Marekani kwa sababu hali yake ya ujauzito aliyofikia haruhusiwi kusafiri kwa kutumia usafiri wa anga kwenda popote. Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel. Chanzo makini kilisema kuwa, Aunt alijiwekea mpango wa kwenda kujifungulia nchini huko kwa muda mrefu lakini alikuwa akisubiri mimba ikue kidogo kitendo ambacho hakikutakiwa kwa kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjYpfpoCNaG*O1l9z3tn1mntS1Txv-tnxN2KmPYlBWTN6hcSDw71SNpEnZ1wQE0qPKoambBmlmlfpoUuDDFL*Yl8/BACKJUMATANO.jpg?width=650)
DOKTA AONYA MIMBA YA AUNT!
10 years ago
Bongo Movies12 Mar
Aunt Ezekiel Akanusha Taarifa za Kujifungua
Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, mwanahabari wa GPL ametia timu nyumbani kwa Aunt na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na taarifa za kujifungua si za kweli.
Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video kinachomuonyesha mwigizaji huyo akiwa ammbeba mtoto mchanga.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, Aunt Ezekiel jana aliweka kipande...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzkTa1vzdjzblTxZsniYzF8FqlsH8c5u49gglyequytI3V1RybFY8OOrf4jnLyunGBbXfpdauKC1sK0kSEhvv*OY/aunty.jpg?width=650)
LICHA YA KUJIFUNGUA UZURI WA AUNT PALEPALE
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua
Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga kurudi kwa kishindo kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.
Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu maswala ya wazazi ili kueleimisha wanawake wenye tabia ya kutupu watoto wachanga mara baada ya kujifungua.
Aidha amesema huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha...
10 years ago
CloudsFM12 Mar
Aunt Ezekiel akanusha tetesi za yeye kujifungua
Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu za kibongo Tanzania Aunty Ezekiel kujifungua hatimaye ameamua kufunguka na kusema kwamba yeye bado hajajifungua na ile video ambayo watu wameiona ni kipande cha movie yake ambayo itatoka hivi karibuni
![](http://api.ning.com/files/YIi6je0KpJNUNv95g5oTtO*9aq3Ov5x3qYbpQ3qvLXu0ynEEp0REnpFJh6brMVX*0fxdzTEVWSYXzBcLvH2cdLeIasBiDn-Q/2.png)
10 years ago
GPLAUNT EZEKIEL AKANUSHA TAARIFA ZA KUJIFUNGUA, ASEMA VIDEO YA MTANDAONI NI KIPANDE CHA FILAMU YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi-69NRxvf-kYC0hslz**fyamzuCkPqc1F0MtAobNLtvtUYavKJh0ea1FlUGA27xPd5efengHSeUMbaRod4bmed7/aunty.jpg?width=650)
MSIBA WAZIMA MBWEMBWE ZA AUNT MAREKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilpWNTof01yN0I3DmP5mSwnHdc6GkGymu8-xQTS3*3VPHwy5IQ*R*1j7cQavPZGjkQzMWWZm6wTVpM7kWxa5i4vK/aunty.jpg)
AUNT, KASSIM WANASWA KIMAHABA NCHINI MAREKANI
10 years ago
VijimamboWAZIRI LAZARO NYALANDU AZUNGUMZIA TETESI ZA KUTANUA NA AUNT EZEKIEL NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rOQZv28JtgI/T4gLSkQwLzI/AAAAAAAAHJE/BksQRWxDToI/s640/1.jpg)
Nyalandu alisema alikwenda Marekani septemba12 kwa ajili ya kufungua tamasha la utamaduni na utalii kupitia soko la wasanii wa Tanzania ambako...