DOKTA AONYA MIMBA YA AUNT!
![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjYpfpoCNaG*O1l9z3tn1mntS1Txv-tnxN2KmPYlBWTN6hcSDw71SNpEnZ1wQE0qPKoambBmlmlfpoUuDDFL*Yl8/BACKJUMATANO.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja TABIA za mitoko ya usiku matembezini, uvaaji viatu virefu na unywaji pombe unaofanywa na wamama wajawazito, kama alivyo sasa muigizaji Aunt Ezekiel, zimeelezewa kuwa si nzuri na zina uwezekano mkubwa wa kusababisha madhara kwa mtoto anayetarajiwa kuzaliwa. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel. Akizungumza baada ya kuulizwa na gazeti hili juu ya mwenendo wa muigizaji Aunt...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI0AQ4WFrXhKHBmJINOZf3qsYFFIcg2PPDmnqyQaNDtpE1QNGBWg5xUnFByoDgQD5aHvNeAdE8JBGU9qccGC5qSr/11.jpg)
DOKTA AMZUIA AUNT KUJIFUNGUA MAREKANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVobf01EHEl4MIoOLA3wSa724kJ58*bMOXQfZtcEV2B0c3L9EGzTCwMjypjrIl6kqLwfxVuh2ggnfjI31ZuHIz5CX/BACKAMANI.jpg?width=650)
HEEE! DOKTA AKUTWA AKIJARIBU KUMCHOROPOA MIMBA DENTI
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Rose Ndauka aonya wanaotoa mimba
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu nchini, Rose Ndauka, amewaonya wasanii wa kike kuacha tabia ya utoaji mimba kwani ni kinyume cha maadili na ni kujidhalilisha. Akizungumza jijini Dar...
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Mimba yamchosha Aunt Ezekiel
NA GEORGE KAYALA
MKALI wa filamu ya Chozi la Mwanjaa, Aunt Ezekiel, amesema kwamba anatamani kujifungua, kwani amechoshwa na mimba yake, kwa sababu imemfanya ashindwe kupata kazi ya kucheza filamu nyingine.
Akizungumza na MTANZANIA jana, msanii huyo alisema kuwa mialiko ya kucheza filamu imekata na sasa haingizi kipato chochote, badala yake pesa inatoka, hali ambayo inamfanya atamani ajifungue ili aondokane na adha hiyo.
“Siyo siri nimechoshwa na hii mimba, natamani hata leo nijifungue,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRTgBwuFfyuAuJnc6PwuTbY7fCtyoJ2sPPJdvIouhEa9aBRQKyBs6ObNGMiA1SL9pWUQrPAKH5veLvQ40RmSUPJ/BACK.jpg)
MIMBA YAMTIBUA AUNT EZEKIEL
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LtxB0pVU7o6qtMGaW0NpHuzxN9ZmfHecLtIUT6pmcVGX4DkyvsQHQ3ayfYDez3yt7XkZnVNzMVRhGc7lWSJjiEx/Aunt.jpg)
MIMBA YA AUNT EZEKIELIMEZUA BALAA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*Wu0GwRQP8auE*wh46peByASuppln4wbU4FKZLrR5eT6BogbmO9JRBWuDlBcRkvumhPAFZQ5bizaqtzl93zgoIV/4copy.jpg?width=650)
AUNT: MIMBA YANGU SIYO YA WAZIRI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xa7NqpzzajpJsLH5ksHUfrlaH0aATNE09AgPuOVRhJTd3JT9pXNPUTW3a2P0rHAqm63ott4DbNIYRdmyqJDhQ2/Untitled5.jpg?width=650)
WAZIRI NYALANDU AFUNGUKIA MIMBA YA AUNT EZEKIEL
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Aunt Ezekiel Alia Mimba Kumkosesha 'Madili'
Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel, amesema kwamba anatamani kujifungua, kwani amechoshwa na mimba yake, kwa sababu imemfanya ashindwe kupata kazi ya kucheza filamu nyingine.
Akizungumza na gazeti la Mtanzania jana, msanii huyo alisema kuwa mialiko ya kucheza filamu imekata na sasa haingizi kipato chochote, badala yake pesa inatoka, hali ambayo inamfanya atamani ajifungue ili aondokane na adha hiyo.
“Siyo siri nimechoshwa na hii mimba, natamani hata leo nijifungue, kwani sipati tena...